Benaya-
JF-Expert Member
- Jul 31, 2019
- 4,415
- 7,631
Gwajima anafanya nini siku hizi?Uaskofu umekuwa uanasiasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gwajima anafanya nini siku hizi?Uaskofu umekuwa uanasiasa
Shetani hana rafiki, endelea kuchekelea uovu, zamu yako itafikaKusema tu haiwezi kusaidia. Ingia barabarani Mkuu.
Tuna bando la kutosha, kupush hashtags.
Subiri tu watuambie ni kipi kakosea.. kina mie tunajifunza kwa kusoma wakieleza..kutoka kifungu gani , ibara ya ngapi ?
Dua la kuku halimpati mwewe hangaikeni tu haya nenda twitter kwenye hashtagShetani hana rafiki , endelea kuchekelea uovu , zamu yako itafika
Naomba nikusahihishe. Mikutano ya hadhara haijazuiliwa ni kama Alivyowahi sema Magufuli. Kama unamkutano wa hadhara fanyia jimboni kwako.Hakika siasa za tanzania ni za kustabisha sana.Rais samia alitangaza kuwa mikutano ya hadhara ba
safi sana
Walikuwa kwenye maandalizi ya kongamano la Katiba mpya
Ni Askofu Mwamakula, Dkt. Lwaitama na Twaha Mwaipaya
Pia soma
Mimi sitetei shetani yoyote. Ndio maana hata siku moja siwezi kutetea mtu anaeonea watu tu kiubinadamu, kwakuwa mimi ni muumini wa UTU.Shetani hana rafiki , endelea kuchekelea uovu , zamu yako itafika
Anzia hapo nyuma ya keyboard unazoandikia maana huwezi kuandamana barabarani kama we ni mwanaume kweli anza kuandamana na usipoandamana wewe ni wa kike tena malayaHivi kwa nini isiwe ni chanzo cha Violence hicho.
Maana i'm tired. Watu wanakamatwaje kizembe na njemba zipo. Hapo ilitakiwa itokee vurugu then maandamano. Shinyanga wanaunga, then Tabora, Singida, Makao makuu, Morogoro na kisha Dar pia Tunakiwasha panakuwa hapakaliki. Na mikoa mingine inaunga juhudi. Tutavumilia hata lini huu udhalimu.
Tangazeni Dar Tuanzie wapi.!!!! [emoji58][emoji58][emoji58][emoji58]
Manyang'au bado yanaendeleza udhalimu
Mungu uwe pamoja na hao maaskofu
Upo tayari kuhumili vile virungu lakini😂😂Hivi kwa nini isiwe ni chanzo cha Violence hicho.
Maana i'm tired. Watu wanakamatwaje kizembe na njemba zipo. Hapo ilitakiwa itokee vurugu then maandamano. Shinyanga wanaunga, then Tabora, Singida, Makao makuu, Morogoro na kisha Dar pia Tunakiwasha panakuwa hapakaliki. Na mikoa mingine inaunga juhudi. Tutavumilia hata lini huu udhalimu.
Tangazeni Dar Tuanzie wapi.!!!! [emoji58][emoji58][emoji58][emoji58]
Hakuna mtz anaweza ingia barabarani, tozo tu watu wapo kimyaHivi kwa nini isiwe ni chanzo cha Violence hicho.
Maana i'm tired. Watu wanakamatwaje kizembe na njemba zipo. Hapo ilitakiwa itokee vurugu then maandamano. Shinyanga wanaunga, then Tabora, Singida, Makao makuu, Morogoro na kisha Dar pia Tunakiwasha panakuwa hapakaliki. Na mikoa mingine inaunga juhudi. Tutavumilia hata lini huu udhalimu.
Tangazeni Dar Tuanzie wapi.!!!! [emoji58][emoji58][emoji58][emoji58]
Actually makongamano na mikutano ni haki ya kikatiba, bila kibali.Walikua na kibali?
Sababu sio siasa tuu hata lingekua kongamano la mashekhe, mapadre au wachungaji bila kibali wangekamatwa tuu
Watakuja kuelewa tu tatizo hata huyo mbunge wao wa nkasi hawamtambui sijui wanataka wakaweke mikutano jimboni kwa naniNaomba nikusahihishe. Mikutano ya hadhara haijazuiliwa ni kama Alivyowahi sema Magufuli. Kama unamkutano wa hadhara fanyia jimboni kwako.
Kama CHADEMA sehemu ambayo wako huru kufanya mkutano wa hadhara ni Nkasi Kaskazini pekee kwa jimbo. Na kama kuna kata ambazo walishinda wakati wa uchaguzi.
Vinginevyo ni mikutano ya ndani tu.
CCM wanafanya mikutano ya hadhara kwa sababu almost majimbo yote ni yao.
More than Tayari [emoji58][emoji58][emoji58]Upo tayari kuhumili vile virungu lakini[emoji23][emoji23]
Siku ya maandamano JWTZ wanatangaza wanajitolea kufanya usafi wa mazingira mtaani apo ndo saikolojia ya mtanzania inakimbia😂😂anzia hapo nyuma ya keyboard unazoandikia maana huwezi kuandamana barabarani kama we ni mwanaume kweli anza kuandamana na usipoandamana wewe ni wa kike tena malaya
Mimi niko Tayari, [emoji58][emoji112]Hakuna mtz anaweza ingia barabarani, tozo tu watu wapo kimya
Ndip maana tunaitaka Katiba mpya ili iweze kukomesha huu uhuni.Hakika siasa za tanzania ni za kustabisha sana.Rais samia alitangaza kuwa mikutano ya hadhara bado ni marufuku isipo kuwa mikutano ya ndani.Ccm ambacho ni chama cha rais samia viongozi wake wamekuwa wanazunguka nchi nzima wakifanya hiyo mikutano ya hadhara iliyokatwaza lakini hatuoni polisi kuwakamata zaidi ya kuwalinda. Chadema wametii agizo la rais samia na kuamua kufanya mikutano ya ndani.
Leo huko Mwanza rpc amewazuia kufanya mkutano wa ndani na kuwakamata mkutano ambao ndio ulio ruhusiwa na rais samia.
Tunaiomba serikali itende haki kwa vyama vyote na jeshi la polisi liache kusababisha uvunjifu wa amani kwa wananchi usio na sababu kwani mkutano wa ndani ungesababisha nini?
Shaka katibu wa uenezi wa ccm akihutubia wananchi huko rukwa katika mkutano wa hadhara mikutano iliyozuiliwa lakini polisi walimlinda badala ya kumkamata.
View attachment 1856804