Huu huzi ni kwaajili ya picha za jiji la Mwanza na project mbalimbali zinazoendelea hapa Mwanza, kama mnataka kupost picha zenu nenda kwenye gallery yenu, na kama mnataka ushindani kuna thread za Mwanza vs kisumu, Mwanza vs arusha.Naomba ustaharabu uzingatiwe.🤣🤣🤣 We mnya ziwani mbona unapaniki
Yeah ustarabu uzingatiwe kungekua na uwezekano watu kama hao ni wakupiga spana tuHuu huzi ni kwaajili ya picha za jiji la Mwanza na project mbalimbali zinazoendelea hapa Mwanza, kama mnataka kupost picha zenu nenda kwenye gallery yenu, na kama mnataka ushindani kuna thread za Mwanza vs kisumu, Mwanza vs arusha.Naomba ustaharabu uzingatiwe.
City au kijiji
Utasubiri sana wewe mbwiga wa RCity au kijiji
🤣🤣Utasubiri sana wewe mbwiga wa R
Hata wewe unaweza kusema kwani Arusha mmewahi kuisaidia mwanza chakulaKatika nchi Masikini zaidi Tanzania ni:-
-Mwanza
-Mtwara
- Singida
-Kagera na
- Lindi
Hayo aliyasema Waziri mapema wiki iliyopita.
Tupo, karibu sanaHello Mwanza Mwanza jiji la miamba+samaki😘😋, nakuja kutembea wenyeji mpo?
Ahsante sana mkuu ntawashtuaTupo, karibu sana
Karibu mtoto mzuri ebu nipm tuyajenge.Hello Mwanza Mwanza jiji la miamba+samaki😘😋, nakuja kutembea wenyeji mpo?
Sawa mkuu👏Karibu mtoto mzuri ebu nipm tuyajenge.
Naomba fursa ya kuwa tour guide wako, huku tukiendelea kufaidi sato na sangara za hili jiji la miamba.Sawa mkuu👏