Mwanza City: The Photo Gallery

Mlioko Mwanza jamani vipi humu mbona pamepoa sana!! Hakuna hata update ya construction yoyote kweli!!
 
Mlioko Mwanza jamani vipi humu mbona pamepoa sana!! Hakuna hata update ya construction yoyote kweli!!
Huku siku hizi pamepoa kinoma wakati kuna miradi mingi ya magorofa katikati ya jiji lakini hakuna picha nikipata muda nitaanza kutumia miradi mbalimbali sijui laizerg alipotelea wapi na wakina ngokongosha, beira boy, mapank(moses swai), sexer etc
 
Huku siku hizi pamepoa kinoma wakati kuna miradi mingi ya magorofa katikati ya jiji lakini hakuna picha nikipata muda nitaanza kutumia miradi mbalimbali sijui laizerg alipotelea wapi na wakina ngokongosha, beira boy, mapank(moses swai), sexer etc
Walivyozuia matumizi ya drone mpaka kibali, tunakosa mengi sana siku hizi.
 
Walivyozuia matumizi ya drone mpaka kibali, tunakosa mengi sana siku hizi.
Yule drone camera hangekuwa anatupia tu maproject kibao ndo hivyo hakuna namna sasa ni kutafuta site kwenye tall buildings na kupiga picha.
 
Huku siku hizi pamepoa kinoma wakati kuna miradi mingi ya magorofa katikati ya jiji lakini hakuna picha nikipata muda nitaanza kutumia miradi mbalimbali sijui laizerg alipotelea wapi na wakina ngokongosha, beira boy, mapank(moses swai), sexer etc
Kaka sisi wengine hayuko mza tunategemea mitandao, nyie mliopo huko live ndio mtu_update
 
Huku siku hizi pamepoa kinoma wakati kuna miradi mingi ya magorofa katikati ya jiji lakini hakuna picha nikipata muda nitaanza kutumia miradi mbalimbali sijui laizerg alipotelea wapi na wakina ngokongosha, beira boy, mapank(moses swai), sexer etc
Hawa jamaa siwaoni kwenye threads siku hizi 👐
 
Bi
Huku siku hizi pamepoa kinoma wakati kuna miradi mingi ya magorofa katikati ya jiji lakini hakuna picha nikipata muda nitaanza kutumia miradi mbalimbali sijui laizerg alipotelea wapi na wakina ngokongosha, beira boy, mapank(moses swai), sexer etc
Binafsi sipo mwanza bila mitandao maisha hayaendi, lakini tunaamini walioko mwanza watatusaidia kutuletea projects mpya na zinazoendelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…