Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nimekukubali sana upo poa katika [emoji328] photographicView attachment 537723 View attachment 537724 View attachment 537725 View attachment 537726 mitaa na barabara zake.
poa poa mkuu.Mkuu nimekukubali sana upo poa katika [emoji328] photographic
Unanikumbusha wakati nipo Mwanzapoa poa mkuu.
Kwahio huu mji ndio mnalinganisha na Arusha ? Wasukuma mnatabu kwelikweli.
karibu tena kiongozi. mwanza inabadilika karibia kila mwaka.Unanikumbusha wakati nipo Mwanza
tuweni tu wastarabu huu uzi haulinganishi Mwanza na Arusha. tusomeni kichwa cha thread tuelewe. It is for mwanza city not anything else. thread za vs zipo kibao tukabishanie huko.Nimeishi Arusha na Mwanza na kiufupi tu naweza kusema Mwanza haifikii Arusha hata nusu tu.
Usingemjibu huyo mtu wa Arusha. Wana stress za maisha, wazungu wanatiririka Alafu wenyewe wamefuria wanabaki kusifia uku hawana pesatuweni tu wastarabu huu uzi haulinganishi Mwanza na Arusha. tusomeni kichwa cha thread tuelewe. It is for mwanza city not anything else. thread za vs zipo kibao tukabishanie huko.
Acha ligi mkuu ! Mwanza bado sana mwakani nikija Bongo ntafanya ziara Mwanza Inshaalah.Usiseme kimji wewe acha ujinga Mwanza jiji kubwa kuliko Arusha! Imekuwa jiji mwaka 2002,arusha 2010 hapo kuelewa mpaka uende chuo kikuu??
Aaaaaaaaagh mahoteli ya nini, leteni picha za nje bana
anzia mwanzo ukurasa mmoja baada ya mwingine jibu lako lipo. mandhari ya jiji yamekumbukwa kama kawaida.Aaaaaaaaagh mahoteli ya nini, leteni picha za nje bana