Mwanza City: The Photo Gallery

Sijui kama watu huwa wanapewa vibali vya ujenzi kufuata hii masterplan
Sidhani, lakini kama hawafanyi hivyo kwanini waliinvest Hela kutoa hii plan. Itakuwa ni matumizi mabaya ya fedha kama hawaifuati. Suala la milima kuvamiwa yaani linakera , na kila tukipata wawekezaji ili basi plan milima ibadilishwe walau ifanane na master plan yetu siasa inakuwa nyingi. Ni baya sana wanasiasa kuwekeza kwenye maarifa ya watu kama mitaji ya kura.
 
City view..uhuru ,dampo ,,,,na makoroboi ...video imechukuliwa Toka leyshof hotel
Your browser is not able to display this video.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…