Na mikate [emoji13][emoji13][emoji13]ila kile kiwanda cha nyanguge ni komesha af kuna watu wa mbeya wanatuleteaga viwanda vya mahindi [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Yule mmiliki wa kamanga alitakaga ajenge ile Lami ya kamanga upande wa 2 had sengerema serikali wakamfanyia figisu
Daraja litaathiri kivuko cha Kamanga???Kikwete na serikali yake walikataa kwasababu wangekupunguza mapato ya kigongo ferry, hiyo barabara ya kamanga haitoweza kujengwa kwa lami adi daraja la kigongo busisi likamilike serikali inaangalia mapato yake na faida zake.
Huyo patel aka Meb si wa polepole alafu ana hotel ya nyota tano anajenga, ndio lile dude nalotupiaga humu.ila kile kiwanda cha nyanguge ni komesha af kuna watu wa mbeya wanatuleteaga viwanda vya mahindi 😄😄😄😄
ila kile kiwanda cha nyanguge ni komesha af kuna watu wa mbeya wanatuleteaga viwanda vya mahindi 😄😄😄😄Huyo ndio meb mwenyewe na ndio mwenye MS company ndio mwenye viwanda nyamhongolo n sasa anahamisha kiwanda chake nyanguge, nilishaleta story yake humu huyo ni mtu na robo tatu😂😂😂
Daraja alitaathiri kivuko kuna watu wanapenda kupita kamanga ili waende buchosa, katunguru pia kamanga ni njia ya karibu zaidi kwahiyo kila mtu na kipenda roho chake japo kila mtu atataka apite darajani kufurahia uzuri wa daraja maridadi la kigongo busisi.Daraja litaathiri kivuko cha Kamanga???
Huyo Patel hakuna anayemkaribia huyo wakina zongyi yopa wataingia kumi na kubaki nusu😂😂😂ila kile kiwanda cha nyanguge ni komesha af kuna watu wa mbeya wanatuleteaga viwanda vya mahindi 😄😄😄😄
Zongi wa juzi tu boss! Huyo kwa mzee Mongol haingii ndani!Huyo Patel hakuna anayemkaribia huyo wakina zongyi yopa wataingia kumi na kubaki nusu😂😂😂
Huyo patel aka Meb si wa polepole alafu ana hotel ya nyota tano anajenga, ndio lile dude nalotupiaga humu.
Ila namkubali ni umri wetu nazani ata 30 year hana lakini mafanikio ambayo kapata ni balaa we unaona magorofa yake hapo downtown yanavyoleta mvuto.Zongi wa juzi tu boss! Huyo kwa mzee Mongol haingii ndani!
Lile ni gorofa nane lakini ukubwa wake umeuon mwenyewe, pia huko juu ya mawe katengeneza tambarare kubwa ambayo gharama za kutengeneza tambarare huko milimani ni sawa n kujenga jengo la ghorofa 22.Hivi ni gorofa ngap lile dude
Kwan zongy yopa .si ni mchina ?Ila namkubali ni umri wetu nazani ata 30 year hana lakini mafanikio ambayo kapata ni balaa we unaona magorofa yake hapo downtown yanavyoleta mvuto.
Mkuu hii nchi kuna watu wanakijicho na mwanza, kama sasa hivi kuwekewa stendi mbili imekuwa nongwa ndio tutake stendi ya tatu, hili jambo ni gumu labda tujenge kwa mapato yetu ya ndani tu.Misungwi kupitia nyashishi wangepeleka proposal serikalin wajenge stand Moja ya kisasa ya Hiace hata ya bn 6 watapiga sana hela pale
Lile ni gorofa nane lakini ukubwa wake umeuon mwenyewe, pia huko juu ya mawe katengeneza tambarare kubwa ambayo gharama za kutengeneza tambarare huko milimani ni sawa n kujenga jengo la ghorofa 22.
Madiwani MCC juzi walikuwa kinondoni kujifunza ujenzi wa stendi ya kisasa.mwwngeMisungwi kupitia nyashishi wangepeleka proposal serikalin wajenge stand Moja ya kisasa ya Hiace hata ya bn 6 watapiga sana hela pale
Wanaleta nyuzi za kulalama kila leo!🤣🤣🤣Mkuu hii nchi kuna watu wanakijicho na mwanza, kama sasa hivi kuwekewa stendi mbili imekuwa nongwa ndio tutake stendi ya tatu, hili jambo ni gumu labda tujenge kwa mapato yetu ya ndani tu.
Huyo ni mbongo hustler ni msukuma mwenye asili ya kijaluo kama sikosei, sijui alifuma wapi pesa huyu mtu asee.
Kama mcc wanataka wajenge stendi pale nyabulogoya wakishaamia nyegezi.Madiwani MCC juzi walikuwa kinondoni kujifunza ujenzi wa stendi ya kisasa.mwwnge
Sent using Jamii Forums mobile app