Kweli maana sijajua taarifa zake zinakanganya! Kama mtu alipiga picha ubao wa maelezo ya kikandarasi anaweza kutusaidia!Nina wasiwasi kama ni hospitali, majengo ya hospitali mara nyingi ni mafupi, ila lolote linawezekana
Wanaona aibu kupiga pichaKweli maana sijajua taarifa zake zinakanganya! Kama mtu alipiga picha ubao wa maelezo ya kikandarasi anaweza kutusaidia!
Mdogo mdogo tu taarifa zitakaa sawa!Wanaona aibu kupiga picha
Sorry nimekosea wanapojenga hotel ni hapo nera upande wa kulia kama unaenda airportHalafu hyo hoteli ya royal ghana kuna mwamba alisema wanaishia floor 8 leo nimepita nimeona matoleo ya gorofa ya 9
Ila si ndo umeona Royal hospital inamatoleo ya gorofa ya tisa kiongozi? Basis ni taarifa njema maana eneo hilo litapendeza sana!Sorry nimekosea wanapojenga hotel ni hapo nera upande wa kulia kama unaenda airport
Huwa sitamani hotel zijengwa barabarani kama hapo nera palivyo banana ..kwani pembeni mwa ziwa Kuna nini ...au ni hotel za low stars ...uzuri wa hotel ni mazingira yanayozungukaSorry nimekosea wanapojenga hotel ni hapo nera upande wa kulia kama unaenda airport
acha wajenge kutoka kuwepo nyumba ya kawaida had gorofa ni hatua nzur sanaHuwa sitamani hotel zijengwa barabarani kama hapo nera palivyo banana ..kwani pembeni mwa ziwa Kuna nini ...au ni hotel za low stars ...uzuri wa hotel ni mazingira yanayozunguka
Sent using Jamii Forums mobile app
Viwanja vya pembezoni mwa ziwa vina cost sanaa, nahisi inaweza kua moja ya tatizoHuwa sitamani hotel zijengwa barabarani kama hapo nera palivyo banana ..kwani pembeni mwa ziwa Kuna nini ...au ni hotel za low stars ...uzuri wa hotel ni mazingira yanayozunguka
Sent using Jamii Forums mobile app
Pale Ghana mtu kanunua plot 700m, viwanja vya ziwa nje ya mti unapata kizuri kikubwa tuViwanja vya pembezoni mwa ziwa vina cost sanaa, nahisi inaweza kua moja ya tatizo
Kweli kabisa ....Kuna maeneo kama unaelekea igombe huko kumekaa Bomba sanaPale Ghana mtu kanunua plot 700m, viwanja vya ziwa nje ya mti unapata kizuri kikubwa tu
Ubaya wa vitu kama hivi havifanyiwagwi maintainance ,wakishaweka ndo imetokaMlioko mwanza HIV Hili daraja bado linawaka hviView attachment 2416720
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa bwana mkubwaUbaya wa vitu kama hivi havifanyiwagwi maintainance ,wakishaweka ndo imetoka
Unajua saizi Mwanza industry ya ujenzi iko juu sana! Hata matumizi ya cement baada ya Dar mkoa unaofatia ni Mwanza!Hizi takwimu za mwanza kuongoza kwa majenzi mapya Tz zimewashtua sana haters wa mwanza
Dar imepitwa kwenye ujenzi..wana 54000 , mwanza wana 64000 .Unajua saizi Mwanza industry ya ujenzi iko juu sana! Hata matumizi ya cement baada ya Dar mkoa unaofatia ni Mwanza!
Ndio mkuu!
Yan mwanza ujenzi imewazid had Dodoma kwa mbali sana ambao wanasaidiwa na serikali πππ
Halafu unajua mwanza ni mjini mpaka kijijini ujenzi uko wa hali ya juu sana! Ukienda Kwimba kama unaelekea Ngudu njia panda ya Nhungumalwa watu wanajenga nyumba za kisasa kabisa!Yan mwanza ujenzi imewazid had Dodoma kwa mbali sana ambao wanasaidiwa na serikali πππ