Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 3,504
- 6,809
Hakuna kisichowezekana ni kujipanga tuu na sio lazima watumie bilion 50, kama wakurugenzi wanaendesha magari ya milioni 500 kwanini isiwezekane?Jiji lijenge .Kwa mapato Gani . estimate ya Gharama ya barabara Ile si chini ya bilioni 50 ...mapato ya nyamagana ni kama bilion 20 ....ukisema zote uziweke kwenye barabara.sekta zingine je
Ndio tatizo linakuja ,kuwa chini ya mamlaka husika ..jiji wanaishia TAMISEMI TARURA...lakini tanroads wako wizara ya ujenzi...Hakuna kisichowezekana ni kujipanga tuu na sio lazima watumie bilion 50, kama wakurugenzi wanaendesha magari ya milioni 500 kwanini isiwezekane?
Ujenzi wa Jengo la Mwanasheria mkuu wa serikali Mwanza litakua na floor 3 mwenye updates na hili jengo
View attachment 2430081View attachment 2430082
Hili ni jengo la deputy attorney general lipo gorofa ya tatu kwasasa, linajengwa buswelu karibu na ofisi za mganga mkuu wa wilaya ya ilemela.Ujenzi wa Jengo la Mwanasheria mkuu wa serikali Mwanza litakua na floor 3 mwenye updates na hili jengo
View attachment 2430081View attachment 2430082
Huu mradi umeanza kutekelezwa kwa speed kubwa na upo hapo kirumba karibu na majengo ya kitana hapo karibu na ofisi za mkombozi ferry na pia mandhari ya maeneo hayo ni ya kuvutia sana.Billion 12 mradi wa Majitaka Kirumba,Igogo, n.k
View attachment 2430041
Huo mfumo wa majitaka ndo unakuwaje sasa aiseeHuu mradi umeanza kutekelezwa kwa speed kubwa na upo hapo kirumba karibu na majengo ya kitana hapo karibu na ofisi za mkombozi ferry na pia mandhari ya maeneo hayo ni ya kuvutia sana.
Huchimbi shimo kwa ajili ya choo, ukinya ukaflash uchafu unapelekwa kwenye mabwawa maalumu yako pasiansi,Huo mfumo wa majitaka ndo unakuwaje sasa aisee
BusweluLipo maeneo gani hili jengo?
Mh ...hii project inaanza Lin mbona sijaisikia ...yaani waruke dar waende dodoma...labda wajenge ruti ya udom kwenda town .ila ruti zingine itabdi waondoe daladala barabaraniMikkde unaona dodoma, wewe unaridhika na daraja tu.
Hata To Udom itakua kwa msimu maanaMh ...hii project inaanza Lin mbona sijaisikia ...yaani waruke dar waende dodoma...labda wajenge ruti ya udom kwenda town .ila ruti zingine itabdi waondoe daladala barabarani
Kwa population ya Dodoma Bado Sanaa ,Mikkde unaona dodoma, wewe unaridhika na daraja tu.
Hiyo serikali unazan itakusikia kutengeneza hiyo barabara ya kenyatta.Niko hapà misungwi.nashauri management ya tanroad mkoa iondolewe kazini ..sio Kwa ubovu huu barabara..no comfortability Toka nimeanza huu mkoa ..ngoja niendelee kujionea
Population inatakiwa watu wangapi?Hata To Udom itakua kwa msimu maana
Kwa population ya Dodoma Bado Sanaa ,
Tunaomba picha mkuu!😂😂😂 maneno hayatoshi!Naipa credit, nyegezi...pamechange sana ...picha siku nyingine
Kweli maneno hayatoshi.ila nipo kwenye gari ,,nikishuka ....nikawa huru mtaani ,nitatuma pichaTunaomba picha mkuu![emoji23][emoji23][emoji23] maneno hayatoshi!