[emoji28][emoji28]...nimepaona tu Kwa mbali. Ujenzi unaendelea...hata Mimi nilitamani nifanye hvyo...ila majukumu yananilazimu saa Tano niwe nimefika kahama ...Kwa mwendo wa frester natakiwa saa 1 niwe stendi.... nitarudi February.inshalaah update zitapatikana tu ..Jitaidi mkuu upige picha ata machinga complex ndio uondoke, cha kufanya amka asubuhi sana uende hapo mchafu koge kamanda then mida unapanda basi kutimkia kahama[emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666]
Mh .. maybe...ila wembamba wa zile nguzo sidhani... ghorofa 6 ,7 au 5 inawezekana.Unaweza kupachukulia poa kumbe ni floor 15+ [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hii kazi ataifanya intelligent man.😀😀😀[emoji28][emoji28]...nimepaona tu Kwa mbali. Ujenzi unaendelea...hata Mimi nilitamani nifanye hvyo...ila majukumu yananilazimu saa Tano niwe nimefika kahama ...Kwa mwendo wa frester natakiwa saa 1 niwe stendi.... nitarudi February.inshalaah update zitapatikana tu ..
Kwani ww umehama hukuHii kazi ataifanya intelligent man.[emoji3][emoji3][emoji3]
Wewe upo kama mimi, mimi huwa nakaribia urefu jengo kwa kuangalia unene wa nguzo na sehemu ya lift kama ipo kwenye mjengo.Mh .. maybe...ila wembamba wa zile nguzo sidhani... ghorofa 6 ,7 au 5 inawezekana.
Nimetoka kidogo mwanza ila kabla ya Christmas nitakuwa nimesharudi na nitatafuta picha ya hizo task ulizotuanzishia.Kwani ww umehama huku
Kitu kingine unaweza angaliaWewe upo kama mimi, mimi huwa nakaribia urefu jengo kwa kuangalia unene wa nguzo na sehemu ya lift kama ipo kwenye mjengo.
Hapo sawa kabisaa.Kitu kingine unaweza angalia
vifaa vinavyotumika
.urefu wa msingi kwenda chini ,
Ukubwa wa eneo
Na wakandarasi wanaohusika
View attachment 2438989View attachment 2438990capri point moto unawaka. Hizi apartments ziko kiwango sana. Nashauri kile Kijiji karibu na Capri hotel kinunuliwe na kujengwe majengo ya kisasa. Capri point Bado ni sehemu iliyo juu ya mlima ambayo Ina makazi Bora na ya kisasa kabisa. Natamani ifike siku mlima ujae vitu kama hivi
Hizo hiace zitolewe.Jengo la sambulugu ...liko floor ya tisa ..ukiplus na Ile minor floor kule juu inakuwa 10 floor...
Jengo hili limekuwa landmark/icon ya Ghana ... pamendeza.wakandarasi wako site .wanafanya interior finishing....kama wakipiga finishing nzuri nje .patapendeza sana .
Nimesoma kibao Cha Mradi ... client ni kampuni la RLCH company...jengo halisemi ni hospital.bali inaonekana ni makao makuu ya Hilo kampuni... project name inasema RLCH building.im just 30 percent kuamini hii ni hospital [emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2437906View attachment 2437907View attachment 2437908View attachment 2437909
Yle maza amefanya kazi kubwa ya kupima maeneo ya Ilemela.Hongera Dr angelina mabula kushinda ujumbe wa Nec kwa kuongoza kura naamin utakuwa na influence ya kuleta maendeleo jiji la mwanza hasa manispaa ya ilemela
Yle maza amefanya kazi kubwa ya kupima maeneo ya Ilemela.
Ilo ni jimbo la rushwa na ufisadi kama wote.ilemela mbunge tunae sio nyamagana zile barabara za kwenda bulale ya Lami ni ya ovyo sana
Ni faida kuwa na Mbunge mwenye influence kwenye system. Naweza sema kwa Ilemela ni Bonus.Ilo ni jimbo la rushwa na ufisadi kama wote.