Mwanza City: The Photo Gallery

Baada ya kuona Victor Bout ameachiwa, nikakumbuka ile docudrama ya Drawins Nightmare, filamu ya mapanki...
Ikabidi niitafute upya niiangalie baada ya miaka zaidi ya kumi...
Hivi wazee Mwanza , tupeni basi historia fupi ya kipindi kile, Mwanza kujishtukia ghafla na kuwa kati busiest Airport in East Africa nzima, kwa ili midude ya kirrussia ilikuwa inatua pale ..Ilyushin II-76....
Kipindi kile maisha yaliwaje Mwanza , je mzunguko wa pese uliongezeka kulingana na sasa.?

Na pia baada ya ile filamu kutembea nchi ulaya, nasikia wazungu wakapiga marufuku samaki wa sangara kwenye nchi zao, na kupelekea kushuka kwa soko la kimataifa...
Pia Jakaya, alilaani sana ule upotofu ulio unyeshwa akaanzisha ampeni...ambayo ikapata sapoti ya wanahabari nguli duniani na wakaanzza kumshabulia yule muuandaji wa hii filamu kwa upotofu ulionyeshwa na kuleta taswira mbaya nchini.....
Pia nasikia wale waliokuwa wanaonyeshwa kwenye hiyo filamu, walikuja kupewa kashkash na mapolisi kichizi na mpaka yule mwandishi aliyeunganisha doti za ndenge zinaleta silaha zitua na kupakia samaki zikiondoka, je ni kweli?
Tupeni ukweli kutaka nyie wenyewe wazawa?
 
Jaman nipen maendeleo ya barabara za kuingia na kutoka stand ya nyegezi,lile gorofa la royal,ujenz wa gorofa karibu na sheli ya GBP
 
Mwanza city gallery mmelala au content hamna [emoji28]
Tujichangamshe kidogo [emoji116]
 
Jitaidi huwe unaleta na picha.
Hivi kwa nini asiwe anakaa kimya 🤣🤣🤣, natania.
Hiyo sports centre nafuatilia niliona kama hawajamaliza, hawa wazungu nia yao ni kuzijenga kila kata.

Nimeanza kuwa fuatilia Toka wanajenga ya mirongo, wakaja sabasaba, ilikuwa inafuatia furahisha naona wameenda mabatini kwanza.
Ingependeza kama halmashauri zinfechangia hata tshs50m, maana wakitoa ardhi na greda ndio basi tena
 
Leo nilikua natembea maeneo ya shamaliwa aiseee shamaliwa ya moto sana,nilianzia pale soko la mbao kushuka huko nchini aiseee ni [emoji378][emoji378]

Umeme changamoto simu haikua na chaji ila kesho mkae mkao wa kula
 
Leo nilikua natembea maeneo ya shamaliwa aiseee shamaliwa ya moto sana,nilianzia pale soko la mbao kushuka huko nchini aiseee ni [emoji378][emoji378]

Umeme changamoto simu haikua na chaji ila kesho mkae mkao wa kula
Ukiwa pale nyamhongolo nanenane ..zile nyumba zinazoonekana Kwa mbele kule kama mlimani ndio shamaliwa ? Au ni kishiri
 
Shamaliwa ndo wapi sasa ..maana Ile huku road ni igoma ...au ni nyuma ya hyo milima
Shamaliwa inaanzia usawa wa ilipp garage ya cola cola mitimirefu hadi pale tandabui kwenda uko ndani

Kifupi Shamaliwa ipo mpakani kati ya igoma na kishiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…