Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,200
- 5,879
Naona usharudi mjiniKesho nitapiga baadhi ya mitaa ya nyasaka na kangaye tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona usharudi mjiniKesho nitapiga baadhi ya mitaa ya nyasaka na kangaye tena.
Hapo ni view tu na angle ya upigaji hizo nyumba zipo planne na kuna barabara sehemu zote zinazotakiwa na zipo kwenye mistari ningepata drone camera ndio ungejionea zilivyo safi asee, mipango miji ilemela wapo vizuri sana.Bado mipango miji wanafeli sana. Nyumba ni Kali sana ila haziko kwenye mpangilio
Lakin kangae Kuna mpangilio sema barabara ni mbovu .... maeneo hayo yalishapimwa kitambo tu ..Bado mipango miji wanafeli sana. Nyumba ni Kali sana ila haziko kwenye mpangilio
Hakika hapa mjini siwezi kutoka.Naona usharudi mjini
Pako vizuri sana tatizo sina drone camera huko cbe, kangaye majengo mapya, nsumba, zenze ni balaaa, tatizo ni barabara za lamiLakin kangae Kuna mpangilio sema barabara ni mbovu .... maeneo hayo yalishapimwa kitambo tu ..
Barabara ya kangaye kutoka mecco wameweka barabara ya zege ikaishia njiani, lakini barabara nzima ni ya changarawe na imejengewa mifereji.Lakin kangae Kuna mpangilio sema barabara ni mbovu .... maeneo hayo yalishapimwa kitambo tu ..
Mi nachojua , maeneo ambayo yamejengwa bila mpangilioPako vizuri sana tatizo sina drone camera huko cbe, kangaye majengo mapya, nsumba, zenze ni balaaa, tatizo ni barabara za lami
Hayo maeneo yote uliyotaja kutoa kilimahewa yapo nyamagana, me nataka kukuambia kuwa Ilemela wapo vizuri kimakazi, barabara na miundombinu.Mi nachojua , maeneo ambayo yamejengwa bila mpangilio
Igogo, mkuyuni,butimba, mabatini, kirumba (milimani),nyamanoro,na kilimahewa, bugarika.....
Maeneo mengine ambayo yanajengwa bila plan ni kishiri,
naomba utembelee kiseke... kiseke kipind Cha zamani ilikuwa maarufu sana kati ya mitaa yenye nyumba classic lakin mbona siku hizi haitajwi sana ... NB sijawahi fika kiseke Toka nizaliwe Huwa napasikia tuBarabara ya kangaye kutoka mecco wameweka barabara ya zege ikaishia njiani, lakini barabara nzima ni ya changarawe na imejengewa mifereji.
Nyamanoro,na kirumba huioni hapo [emoji867][emoji16]Hayo maeneo yote uliyotaja kutoa kilimahewa yapo nyamagana, me nataka kukuambia kuwa Ilemela wapo vizuri kimakazi, barabara na miundombinu.
Nyasaka inakaa kwa kisekenaomba utembelee kiseke... kiseke kipind Cha zamani ilikuwa maarufu sana kati ya mitaa yenye nyumba classic lakin mbona siku hizi haitajwi sana ... NB sijawahi fika kiseke Toka nizaliwe Huwa napasikia tu
Na kishiri mkuuMi nachojua , maeneo ambayo yamejengwa bila mpangilio
Igogo, mkuyuni,butimba, mabatini, kirumba (milimani),nyamanoro,na kilimahewa, bugarika.....
Maeneo mengine ambayo yanajengwa bila plan ni kishiri,
Kishiri ndo eneo unapata Hadi viwanja vya laki 5 .Kila mwenye pesa ndogo anakimbilia viwanja huko hata 20 *15 ..then Kila mtu anajenga anavyojisikia , japokuwa hata nyumba Kali zipo .ila kama wasipoangalia patakuwa hovyo sanaNa kishiri mkuu
Kama nyasaka inakaa ,basi kiseke Pako vizuri sanaNyasaka inakaa kwa kiseke
Maximum 8 au 9Hili jengo lipo wap na ni hotel au commercial building
Kiseke wamejenga sana tena sana, pia panataka kufanana na nyasaka.naomba utembelee kiseke... kiseke kipind Cha zamani ilikuwa maarufu sana kati ya mitaa yenye nyumba classic lakin mbona siku hizi haitajwi sana ... NB sijawahi fika kiseke Toka nizaliwe Huwa napasikia tu
Kuna matoleo ya gorofa ya nane, pia ili jengo ni ghorofa 9 proved.Maximum 8 au 9
Mkuu kiseke wamejenga sana lakini kusema nyasaka inakaa kwa kiseke siwezi kukubali may be panalingana au nyasaka yupo juu kidogoNyasaka inakaa kwa kiseke
We si ulisema Hawa contractor wana Jenga jengo la ghorofa 12 nera ...washaenda site au ni story tu?!!Kuna matoleo ya gorofa ya nane, pia ili jengo ni ghorofa 9 proved.