Nimeona majaruba ya pale kitumba kama unatoka mipango kuelekea stendi ya kisesa wamesawazisha grader ..sijui wanataka kujenga nini[emoji116]Yawezekana.
Ila kadri unavyokuwa hao Majaruba watu huwa wanapima viwanja, tena sometimes wanawekaga greda linasawazisha.
Sometimes ni watu, wanasawazisha ili wapime viwanjaNimeona majaruba ya pale kitumba kama unatoka mipango kuelekea stendi ya kisesa wamesawazisha grader ..sijui wanataka kujenga nini[emoji116]View attachment 2467512View attachment 2467513
Hii sio Nyakagwe kwenda MwasongeBuhongwa huko [emoji116]View attachment 2466025View attachment 2466026
Nahisi hivyo hivyoHii sio Nyakagwe kwenda Mwasonge
Lote Hilo ni eneo la chuo mpak kule bwawani karbu na stendi ya Kona ya kayenze ,Nimeona majaruba ya pale kitumba kama unatoka mipango kuelekea stendi ya kisesa wamesawazisha grader ..sijui wanataka kujenga nini[emoji116]View attachment 2467512View attachment 2467513
Chuo kipiLote Hilo ni eneo la chuo mpak kule bwawani karbu na stendi ya Kona ya kayenze ,
MipangoChuo kipi
Mbona fence Yao inaishia hapo kwenye jengo linalojengwaLote Hilo ni eneo la chuo mpak kule bwawani karbu na stendi ya Kona ya kayenze ,
Hyo ilikuwa awamu ya Kwanza , walitanua Eneo mpak barabara ya kitumba kule juu, watu wote walilipwa , na waliokuwa wamejenga walilipwa wakastisha ujenzi , maeneo yote yamesawazishwa...!!Mbona fence Yao inaishia hapo kwenye jengo linalojengwa
Oh .wamefanya jambo jema sana ....maana hata mim nilishangaa kwann wamechukua eneo dogo hivyo ,kama walivyoharibu kampasi ya dodoma ..ikakosa Hadi eneo la viwanja vya michezo ...profesa mayaya ni bright leader sana kaleta mapinduzi makubwa chuo Cha mipango,,,...Hyo ilikuwa awamu ya Kwanza , walitanua Eneo mpak barabara ya kitumba kule juu, watu wote walilipwa , na waliokuwa wamejenga walilipwa wakastisha ujenzi , maeneo yote yamesawazishwa...!!
Naona wanaweka vyumba kama vya Rock Bay, ila wao wanaweka kila chumba na swimming pool yake ndogoHamna eneo lenye mandhari nzuri kama hili hapa ....acha nitafute hela aisee ...
Honey moon yangu nifanyie hapa [emoji12][emoji28]View attachment 2467801View attachment 2467802
Hawa jamaa wangeacha ujinga wa kufungua Campus kila mkoa wakawekeza Main Campus yao tu wangekuwa bonge la University kwa upande wa Private hapa Bongo japo hata sasahv hawapo vibaya
Kirumba, Kabuhoro hiii locationRaha ya kuishi mlimani ni hii [emoji116] unakuwa mtalii wa ndani
View attachment 2477340