Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hyo picha ya juu ni buzuruga please [emoji120]
Hii Royal Hospital ndio ile iliyokuwa kona ya bwiru mkuu?Royal hospital kwa hisani ya mr intelligent man
View attachment 2482670
Ndio ila ya pale kona ya bwiru inaendelea kutoa huduma, hatujajua kama na hii huyu ndegesera ataifanya hospital au itakuwa royal hotel?Hii Royal Hospital ndio ile iliyokuwa kona ya bwiru mkuu?
Sio hotel...ni jengo la ofisi zao nahisi ,,,maana kwenye project wameandika RHCL BUILDINGNdio ila ya pale kona ya bwiru inaendelea kutoa huduma, hatujajua kama na hii huyu ndegesera ataifanya hospital au itakuwa royal hotel?
Mbona kama ina floor 10Royal hospital kwa hisani ya mr intelligent man
View attachment 2482670
Ndio ni 10 kama ukiweka ground floor na ukiweka underground floor nazan 11.M
Mbona kama ina floor 10
Naona picha za buswelu na kiseke unaziita nyasaka [emoji28][emoji28][emoji28]
Me nimehesabu 1floor ukiongeza na ground inakua 11Ndio ni 10 kama ukiweka ground floor na ukiweka underground floor nazan 11.
Hizo mbili za mwisho kuna kiseke na hizo frame ni buswelu zingine ni nyasaka jana..... Jana nilikuwa speed sana🙏🙏🙏🙏Naona picha za buswelu na kiseke unaziita nyasaka [emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji28][emoji28]Hizo mbili za mwisho kuna kiseke na hizo frame ni buswelu zingine ni nyasaka jana..... Jana nilikuwa speed sana[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Ndio hata Jana nimepita wapo floor 3Hilo gorofa la nela wamefika floor ya tatu
View attachment 2482775