Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,200
- 5,879
Ni jambo la kupendeza kuwa fedha za miradi zinabaki hapa hapa mwanza,,,,badala ya kuwapa wakandarasi wa mikoa mingine ..Sasa mellow na arms strong wana project maeneo ya round about ya nyerere, karibu na filling station, wameshaweka bango ya ukandarasi na sasa hicho kijumba kinavunjwa, kupisha ujenzi.