Mbona hizo picha ni poor quality[emoji848][emoji848]Mionekano mbalimbali ya ujenzi wa cathedral jimbo kuu la mwanza.
View attachment 2486200View attachment 2486200View attachment 2486201View attachment 2486204View attachment 2486205View attachment 2486206View attachment 2486207
Nimezitoa sehemu konk, na sijapiga mimiπππππMbona hizo picha ni poor quality[emoji848][emoji848]
Nasubiri wakianza construction hiyo mwezi wa tatu nitamualika hater wa jiji la Mwanza, zwazwa , the sunk cost farasi.The future is now exciting,,,wana mwanza [emoji116][emoji116]
Wanaokaa national hapo ..hii zawadi inakuja kwenu sio muda ....nadhani dalili mshaanza kuziona hapo jirani na stendi ya daladala
View attachment 2486660View attachment 2486661View attachment 2486662
Hapo karibu genge la usiku la kinamama?The future is now exciting,,,wana mwanza [emoji116][emoji116]
Wanaokaa national hapo ..hii zawadi inakuja kwenu sio muda ....nadhani dalili mshaanza kuziona hapo jirani na stendi ya daladala
View attachment 2486660View attachment 2486661View attachment 2486662
Yeah..hapoHapo karibu genge la usiku la kinamama?
Wenyeji wa Mwanza, ni maeneo yapi yenye utulivu na yenye nyumba nzuri za makazi?Yeah..hapo
Kwa apartment na villaWenyeji wa Mwanza, ni maeneo yapi yenye utulivu na yenye nyumba nzuri za makazi?
Waoh ..Hilo jengo la hapo rufiji ,,,bado tu hawajamaliza finishing?Project za armstrong na mellow[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2487396View attachment 2487397
Huu mradi wamesema ni ghorofa 10 +?Na sasa wameanza na huu mradi wa ghorofa 10+ hapo mtaa wa rwegasore upo floor ya tatu ukiwa na basement ya underground. [emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 2487391View attachment 2487392View attachment 2487393
Tatizo client ameishiwa pesa.Waoh ..Hilo jengo la hapo rufiji ,,,bado tu hawajamaliza finishing?