- Thread starter
- #7,221
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanza ni unyama mwingi sana japo tunabaniwa barabara ya kenyatta road.View Moja tamu sana
Pamoja mkuuHili dude ni balaa, asante sana kwa hii picha.
🙏🙏Pamoja mkuu
Wasije kuingia mamluki
[emoji28][emoji28][emoji28]najua possibilities hizo zipo ....ndio maana nimesema wenye Nia ,,,na nitaifuta ndani ya masaa 48Wasije kuingia mamluki
Kitambo sana
Hili hotel itakua ghorofa ngapi?
Gorofa.9Hili hotel itakua ghorofa ngapi?
Mkuu mi sijajoin aisee[emoji28][emoji28][emoji28]najua possibilities hizo zipo ....ndio maana nimesema wenye Nia ,,,na nitaifuta ndani ya masaa 48
Sent using Jamii Forums mobile app
At least sasahivi mambo yanarundikwa kwenye majiji mawili Dodoma ndio kwanza inaanza ila tayari pameshakuwa vile, lile jiji ndani ya miaka 10 kutoka sasa litakuwa ni fire [emoji91][emoji91]Tanzania ipo tofauti sana miji ya nchi nyingine viongozi wamejaa ushamba wa hali juu, angalia kenya, Nairobi na mombasa ata kisumu hakuna tofauti, angalia msumbiji, maputo na beira hakuna utofauti, nenda Afrika kusini majiji yote yanalingana, nenda nchi za ulaya na miji yao nenda Asia na angalia ata America, huu upuuzi upo Tanzania tu wakidhani Tanzania ni Dar tu, wakiendelea kunyonya rasilimali za maeneo mengine kutengeneza jiji moja na CBD moja.
Nawaomba mtembelee mtaa wa IBANDA kule kna plot ya BUGANDO nenden hko nazan ukiacha capripoint now inafata IBANDA Kwa mliofika kule mtanielewa ni kama ulaya ndogoKwa apartment na villa
bwiru,
Capripoint
Isamilo
Ilemela
Nyakato (mwananchi)
Kwa nyumba classic ila sio mansion
-nyasaka
-buswelu
-nyegezi (majengo
-nyamhongolo
-kiseke
Mkuu,PM yako inakataa kutumiwa ujumbe ..nichek bas nikutumie linkMkuu mi sijajoin aisee
Kaka za chini chini mm niliskia Kuna figisu kutoka juu kuwa itapiku airport ya dar,maana mwanza ni mkoa uko karibu na nchi za maziwa makuu kama UGANDA,KENYA,lakin pia nchi kama CONGO,RWANDA na BURUNDI na ukikamilika midenge mikubwa kutoka nchi hizo zote itashuka mwanza,,Usimsingizie Nyerere, alipokea nchi toka kwa wakoloni ikiwa hivyo hivyo, ukienda nchi kama Uingereza mitaa ya zamani barabara ni nyembamba ila wenzetu wakiona iko busy wanaigeuza kuwa one way.
Nitmie nami mkuuMkuu,PM yako inakataa kutumiwa ujumbe ..nichek bas nikutumie link
Sent using Jamii Forums mobile app
Asant tyr