Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi waswahili TU naona wanaweka hyo Bei kuvutia watu kumbe Bei Yao ni tofaut,mm nilijua ndo Bei Yao hyo 600000Nishawahi wasiliana na jamaa mmoja kwenye hayo magroup,,, alikuwa anauza kiwanja laki Tano lakini baada ya siku moja akapandisha laki nane na laki 9...ukubwa 20*20 ...nilianza kuwaona waswahili
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wengine wapo wanasema ukweli...Basi waswahili TU naona wanaweka hyo Bei kuvutia watu kumbe Bei Yao ni tofaut,mm nilijua ndo Bei Yao hyo 600000
Kisesa kuna eneo la Halimashauri?Hivyo viwanja vya laki sita sio vya kukimbilia ....Kuna viwanja vimepimwa kayenze maeneo ya mji Mpya wa halimshauri..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maeneo ya isangijo karibu na watumishi housingKisesa kuna eneo la Halimashauri?
Nami naomba kujiunga na hilo group la Whatsapp mkuu. Home sweet home
Oky...sawaNami naomba kujiunga na hilo group la Whatsapp mkuu. Home sweet home
Mkuu naweza kupata mawasiliano ya mtu atakayenusaidia kupata eneo mitaa ya Kisesa to KayenzeKwa wilaya ya Ilemela,
Vuka Busweru sogea sogea hadi Kahama, Isela na Ilalila. Barabara ni ya lami umeme upo karibu na kuna miradi ya maji inaendelea huko bei zinaanzia mil2.5 na kuendelea
Kwa wilaya ya Nyamagana,
Vuka Kishiri sogea sogea Kanindo, Fumagila na Sahwa. Barabara inajengwa ya lami na kuna miradi ya maji pia bei kuanzia mil2 na kuendelea
Kwa wilaya ya Magu,
Vuka Kisesa sogea sogea hadi Isangijo, Kitumba pia barabara ya kutoka Kisesa kuelekea Kayenze huko bado kuna maeneo makubwa sana yako wazi na watu wananunua sana bei bado ziko chini kwa sasa kuanzia laki 8 unapata kieneo chako,
NB,, Mimi sio dalali wala sihusiki kuuza viwanja nimechangia kile ninachofahamu,,
Nasubiri link pm mkuu
Karibu maseti sports bar buhongwaWadau baada ya kazi ni burudani kupoza roho tuwekeeni na viwanja murua vya kujirusha kwa Mwanza maeneo tofauti tofauti
Asante nimeiona mkuu
Taa zinaishia mkolani ...wakuu nimeona Leo Barabara ya Kenyatta from town nazan mpaka nyashishi wanaweka taa,
Lakin najiuliza mbona like jengo la NSSF Pale capripoint limesimama finishing muda kulikoni,pia jengo la kitana pale mwaloni kirumba nalo miaka inasonga hafany finishing,
Karibu anayejua Kwa ufafanuzi
Aaah sawa ila kidogo angalau