- Thread starter
- #7,301
Siyo mkolani darajani hapaMaseti Buhongwa Sheli hapo!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo mkolani darajani hapaMaseti Buhongwa Sheli hapo!!!
Kwanini tusianzishe uzibkati ya Morogoro municipal vs Ilemela municipalSiyo mkolani darajani hapa
Hapana acha waanzishe wengine. Sisi kazi yetu ni kutoa dozi tuKwanini tusianzishe uzibkati ya Morogoro municipal vs Ilemela municipal
Maseti ipo Buhongwa mzee yaan mita kadhaa tu unakutana na NMB Buhongwa ikiwamkabala na OLASITI filling stationSiyo mkolani darajani hapa
Kijiwe kipya hiki itakuwa ni pale shel siyo?Maseti ipo Buhongwa mzee yaan mita kadhaa tu unakutana na NMB Buhongwa ikiwamkabala na OLASITI filling station
Yes, Shell palepale inaitwa MASETI piaKijiwe kipya hiki itakuwa ni pale shel siyo?
Napajua mkuuYes, Shell palepale inaitwa MASETI pia
Samahani hvi hii ni hotel au kanisa??Picha mbalimbali za ujenzi wa cathedral Mwanza, Tanzania[emoji116][emoji116]
View attachment 2530399View attachment 2530400View attachment 2530401View attachment 2530402View attachment 2530403View attachment 2530404
Hii sio hotel ni zaidi ya kanisa yaan hii ni cathedral, na lina uwezo wa kuweka watu 7000 pamoja wakati wa misa, pia ina vitu vingi na underground kubwa tu.Samahani hvi hii ni hotel au kanisa??
Sera ya Chadema ya majimbo ndo jibu la matatizo hayo ya kupendelea baadhi ya mikoa na kuiterekeza mikoa mingine.Me naona wangebalance miji ikawa na hadhi zinazokaribiana sio kila kitu kinarundikwa dar wangeepusha vingi,
Hii kitu huwa unaniuma sana nikiongea hapa nitatokwa na mchozi.Sera ya Chadema ya majimbo ndo jibu la matatizo hayo ya kupendelea baadhi ya mikoa na kuiterekeza mikoa mingine.
Mfano mwingine ni katika wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga.Kishapu Kuna mgodi wa almasi wa Mwadui, lakini wilaya haina barabara ya lami.
Hapa umeupiga mwingi boss wangu [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Maeneo ya Ilemela kama kawaida vitu kuntu vinaendelea kujengwa
View attachment 2548063View attachment 2548064View attachment 2548065
Noma[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Ilemela bado kasi ya ujenzi ni kama inashindana na jimbo la calfonia marekani[emoji91][emoji91][emoji91]
View attachment 2548069View attachment 2548070View attachment 2548071
shukrani mdau mwenzangu MikeRock city mall
Picture credit wilsonwizzo3 View attachment 2549461
Sent using Jamii Forums mobile app