mhuri25
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 2,780
- 3,733
Maseti Buhongwa Sheli hapo!!!Karibu maseti sports bar buhongwaView attachment 2525646
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maseti Buhongwa Sheli hapo!!!Karibu maseti sports bar buhongwaView attachment 2525646
Kwan washaanza kutengeneza sehemu za kuwekea nguzo za taa?Aaah sawa ila kidogo angalau
Washamaliza kabisa naona Leo wataanza kuweka taa au kesho
Ile link inazingua mkuu haifunguki
Mambo kama hayo sasaKaribu maseti sports bar buhongwaView attachment 2525646
Sawa ntajaribuMkuu naweza kupata mawasiliano ya mtu atakayenusaidia kupata eneo mitaa ya Kisesa to Kayenze
Mji wa mwanza bado kufikia hadhi ya kuhost makao makuu ya kampuni yoyote kubwa.Kwanini Barrick wanachimba Lake zone wakati Head quarters zao zipo Dar Why isiwe Mwanza centre ya Rock City
Kwania njema mkuu, unaweza kutoa sababu hapa?Mji wa mwanza bado kufikia hadhi ya kuhost makao makuu ya kampuni yoyote kubwa.
Kwa hyo Sahara media group ni kampuni ndogo ,vip kuhusu auric air,,,Mji wa mwanza bado kufikia hadhi ya kuhost makao makuu ya kampuni yoyote kubwa.
Marine service company ni kampuni ndogo?Mji wa mwanza bado kufikia hadhi ya kuhost makao makuu ya kampuni yoyote kubwa.
Tayari nimetuma namba umei
Ni kawekamo au maeneo gani,,?Picha mbalimbali za ujenzi wa cathedral Mwanza, Tanzania[emoji116][emoji116]
View attachment 2530399View attachment 2530400View attachment 2530401View attachment 2530402View attachment 2530403View attachment 2530404
Hiyo ni kawekamoNi kawekamo au maeneo gani,,?
Daaah nitaenda kuwasalimia mwezi wa tisa.[emoji482][emoji481]View attachment 2525649