Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,626
- 6,731
Hapa kuna nduguye rais Magufuli kalewa, ana shout ili kaka yake asikie kule Ikulu... kuwa "nyumbani ni pipi nyumbani."
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha hahaaaHapa kuna nduguye rais Magufuli kalewa, ana shout ili kaka yake asikie kule Ikulu... kuwa "nyumbani ni pipi nyumbani."
Wewe mnyarwanda una tabu...Kigali baeby.!!!
Wewe mnyarwanda una tabu...
Mwanza kwetu, kila siku lazima nisome hii post bahati mbaya nimekukuta huku mnyarwanda na bila kujificha unaileta kigali kwenye thread.Tabu unayo wewe kupekua pekua kila ninachopost Pole sana kwa kazi ngumu.
Utaweweseka sana Mimi mbuzi wewe kaa uwasaidia mama zako kumenya viaziMwanza kwetu, kila siku lazima nisome hii post bahati mbaya nimekukuta huku mnyarwanda na bila kujificha unaileta kigali kwenye thread.
Unatafuta ban sio? Usiharibu thread yetu ya wana Rock CityUtaweweseka sana Mimi mbuzi wewe kaa uwasaidia mama zako kumenya viazi
Unatafuta ban sio? Usiharibu thread yetu ya wana Rock City
Addicted to bans [emoji16][emoji16][emoji16]Kwani ukipigwa ban utaumwa .?? et Rock city au kokoto city [emoji3][emoji3][emoji3]
jealous kaoneeee shipa la kichwa lilivyokutoka kama unataka kunya
abu dhabi huwa inapigwa promo kili kukicha.....na watu mashuhuri huenda kuutembeleaa kwahiyo kwa kigezo chako aunatuaminisha kuwa abu dhabi sio mji mzuri??
Mwanza mnapiga promo hapa JF adu dhabi wanapiga promo kimataifa wanaingiza ela nyie promo yenu inaishia hapa hapa hakuna lolote