Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
Ni sawa na mtu asifie Bilila Kempisky na Singita zilizopo Serengeti ambazo booking inafanyika Marekani alafu mgeni anakuja na begi lake lake tu ...hayo mambo ya 5 stars hotel ni kwa wageni na fahari ya macho kwa wenyeji,,,A town ni kwere huku mastar kibao unaowana kwenye tv washalala tukisema tuanze kutupi hotel ama ma camp site walzolala na gharama zake ni kwere...kina will smith..beckam ma plyer ndo usiseme kina lebron ..n.k acha kbisa kutuma hizo hotel...zako na kuikejel arusha.