Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasaidie kuwapa chakula inaonesha we ni mzabuni mzuriTanzania ni Nchi, hiyo ni mikoa masikini iliyopo ndani ya nchi ya Tanzania.
Kwahio huu mji ndio mnalinganisha na Arusha ? Wasukuma mnatabu kwelikweli.
Huwa najiuliza kuwa nyumba za huko juu mlimani, hao watu wana hati??kwani wamevamia mlima, ardhi wametoa kibali kweli au ni nguvu ya pesa tu inayokuwa juu ya sheria, au serikali kupuuzia tu??Mambo ya Capri point
Haha haha hawa Jamaa wa Hati na wanatambulika kisheriaHuwa najiuliza kuwa nyumba za huko juu mlimani, hao watu wana hati??kwani wamevamia mlima, ardhi wametoa kibali kweli au ni nguvu ya pesa tu inayokuwa juu ya sheria, au serikali kupuuzia tu??