Cha asubuhi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 1,549
- 2,279
Noma sana bila kusahau bugarika kundi la bad pozSasa uhuni umepungua sana, si kama miaka ya 2006 - 2009 yalikuwepo makundi ya vijana wavuta bangi kama majeshi ya waasi, kila mtaa na squad yake, makundi kama Mapimbilo, I1, Manyilizu, Bark boys nk, makundi yakikutana ni vita vitani....siyaoni hayo makundi ck Hz.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Zaman vijana walipenda sana uhuni igoma,bugarika,igogo na kitangiri makundi yalikua ni moto