Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Kule bwiru mwenyekiti wao na diwani wao na serikali ya bwiru ilishazuia ujenzi wa nyumba za kawaida huko lazim ujenge ghorofa, sio porojo na huu ndio ukweli kamanda wala sio blah blah.
Bara bara ya airport ina ushua mwingi , kama Una pesa mingi , nenda kajenge Bwiru , kuna ushua flan Bwiru wa ukweli Sana , watu wapo civilized Sana aisee, sababu kuu naona uwepo wa ardhi oevu (yenye maji maji ) hvyo kufanya hewa iwe Safi na ya kuvutia , pia uwepo wa upepo mwanana wa ziwa , na pia ardhi tambarare Kwa kias fulan , kufikia Kwa Urahs city center , na pia eneo limezungukwa na huduma zote mhimu , kama sehemu za starehe , beaches, mahotel mazuri , airport, masoko , michezo n.k na hvyo watu wenye nazo kuvutiwa na hlo eneo, kiufupi tuu hakuna eneo Tamu kama Bwiru, daah basi Tu hi utafutaji Ila ingekuwa naishi mwanza ningepambana nipate plot Bwiru
 
Bara bara ya airport ina ushua mwingi , kama Una pesa mingi , nenda kajenge Bwiru , kuna ushua flan Bwiru wa ukweli Sana , watu wapo civilized Sana aisee, sababu kuu naona uwepo wa ardhi oevu (yenye maji maji ) hvyo kufanya hewa iwe Safi na ya kuvutia , pia uwepo wa upepo mwanana wa ziwa , na pia ardhi tambarare Kwa kias fulan , kufikia Kwa Urahs city center , na pia eneo limezungukwa na huduma zote mhimu , kama sehemu za starehe , beaches, mahotel mazuri , airport, masoko , michezo n.k na hvyo watu wenye nazo kuvutiwa na hlo eneo, kiufupi tuu hakuna eneo Tamu kama Bwiru, daah basi Tu hi utafutaji Ila ingekuwa naishi mwanza ningepambana nipate plot Bwiru
Sio Mwanza tu hapa Tanzania nzima hakuna eneo tamu na zuri kama bwiru sema umaskini tu asee.
 
IMG_20221222_212404.jpg


IMG_20221222_212340.jpg
IMG_20221222_180113.jpg
 
Mwanza Airport inamaana huu upigaji JPM hakujua hadi ana fariki kama yeye ndio alitoa maelekezo hawakuona umuhimu wowote wa kuzihusisha mamalaka japo tunajua miradi mingi kipindi cha JPM haikupitia Bungeni!!!
 
Mwanza Airport inamaana huu upigaji JPM hakujua hadi ana fariki kama yeye ndio alitoa maelekezo hawakuona umuhimu wowote wa kuzihusisha mamalaka japo tunajua miradi mingi kipindi cha JPM haikupitia Bungeni!!!View attachment 2455335
Ilo jengwa ligeuzwe kuwa godown la mizigo au soko la samaki, hii ni aibu sana toka mwanzo nilikuwa nalipinga ilo jengo na hapo limetumia kama 9bilion lakini kiuhalisia ata 1.2bilion halifikishi, hapa rais wetu mpendwa hayati magufuli alizingua kiukweli.
 
Back
Top Bottom