Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,200
- 5,879
Oh saw saw Boss
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oh saw saw Boss
Sijaielewa kabisa hayo mapangaboi hewani ya nn mkuu
Ha haaaa hata mi huwa nashindwa kuelewa hzi mbwembwe sjui za nn , architecture Wana mbwembwe Sana , wangeweka design ya kiume ambayo ipo straight forward , kazi kazi ... Ngokongosha ana majibu sahihiSijaielewa kabisa hayo mapangaboi hewani ya nn mkuu
Render inaweza kubadilika muda wowoteHa haaaa hata mi huwa nashindwa kuelewa hzi mbwembwe sjui za nn , architecture Wana mbwembwe Sana , wangeweka design ya kiume ambayo ipo straight forward , kazi kazi ... Ngokongosha ana majibu sahihi
Mh, wakati wao huko ulaya wanalalam miji yao haina life,Ulaya ndio huwa hawana mambo mengi kwenye cbd na look gud sana, parking, garden, recreational area, commercial buildings, market and malls hivi ndio vitu muhimu kwenye cbd
Kulikua na haja gani yakujenga jengo fupi ivi katikati ya Jiji wangelijenga Buswelu wilayani uko
Igombe .[emoji91][emoji91][emoji91]
Hiyo serikali yenu ndivyo ilivyo vitu vizuri wanapeleka dar na dodoma sehemu nyingine wanadhani ni nje ya Tanzania.Kulikua na haja gani yakujenga jengo fupi ivi katikati ya Jiji wangelijenga Buswelu wilayani uko
Hilo sio jengo la biashara....Kwa hyo hamna ulazima wa jengo kuwa refuKulikua na haja gani yakujenga jengo fupi ivi katikati ya Jiji wangelijenga Buswelu wilayani uko
Ni refu kwenda underground ata hivyo kuna 3 floor underground.Hilo sio jengo la biashara....Kwa hyo hamna ulazima wa jengo kuwa refu
[emoji28][emoji28]sasa kama unalojua hili mbona umemeapoti Busan hapo juuNi refu kwenda underground ata hivyo kuna 3 floor underground.
Basi wangejenga Buswelu, kwan kila jengo la serikali lazma likae CBDHilo sio jengo la biashara....Kwa hyo hamna ulazima wa jengo kuwa refu
Tumechoka na Ngonjera viongoz wa Kanda ya ziwa wakipata nafasi huwa hwazitumii mfano Anjelina Mabula Marry Masanja n.k, kitendo cha Mabula kuwa Waziri wa Nyumba nilitegemea kuwepo kwa Satellite Cities Mwanza, kuwepo kwa Marry nlitegemea kuwepo kwa promotions upande wa Utalii wa Kanda ya ziwa. Wenzetu kanda zingine wakipata chance wanatumia barabara mfano wazir wa ujenzi wa sasakwenye makongomano mnaongea sana ila kwenye kupitisha bajeti..ndiyo zinakuwa nyingi sanaView attachment 2462603
CBD sio lazima iwe na Majengo marefu ,,kama Shanghai ...Basi wangejenga Buswelu, kwan kila jengo la serikali lazma likae CBD
Hii miji ya kitambo wanaogopa kupoteza watalii coz Majengo ni ya Kaleeeè, but sisi miji yetu ni recent we need tall buildingsCBD sio lazima iwe na Majengo marefu ,,kama Shanghai ...
[emoji116]
Hapa Venice Italy View attachment 2463281