Mwanza: Daladala kugoma Februari 16, wanadai bajaji zinakwapua abiria wao na kuwamaliza

Mwanza: Daladala kugoma Februari 16, wanadai bajaji zinakwapua abiria wao na kuwamaliza

Nani apande daladala wakati kuna bajaj ya fasta? Hao daladala watulie tu, mbona wenzao wa tax walishakubali matokeo? Kila zama huja na aina yake ya usafiri wa haraka
 
Aisee moshi imezid kwa bajaji, sidhani kama kuna mji una bajaji nyingi kama mji wa moshi manispaa
Mbeya ukifika utaelewa mm nilizan Kuna kiwanda Cha bajaji,,


Hapa mwanza hakuna bajaji hata zilizopo wanautaratibu kabisa utakuta wamepaki sehemu Yao wanasubiri abiria na znaenda ambako magar hayafiki,,labda wachache wanazunguka
 
Aisee moshi imezid kwa bajaji, sidhani kama kuna mji una bajaji nyingi kama mji wa moshi manispaa
Daladala zimeenda wap...sasa kama mji ulikuwa na usafiri mzr wa daladala sasa ukarudi kwenye bajaji na bodaboda...mji unarudi nyuma huo..manispaa ifanye kitu
 
Daladala zimeenda wap...sasa kama mji ulikuwa na usafiri mzr wa daladala sasa ukarudi kwenye bajaji na bodaboda...mji unarudi nyuma huo..manispaa ifanye kitu
Wewe Umeona mbali sana, haiwezekani mtoke kwenye daladala (Hiace na coaster) mrudi kwenye bajaj na bodaboda ambazo ni very risky na pia zinaongeza msongamano mijini
 
Back
Top Bottom