Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Jitahidi watu wasijue kuwa huna akili.Walidai ni megastructures zisizo na faida.
====
Tanzania has completed the construction of the Magufuli Bridge on L. Victoria, Mwanza.The 3.2 Km bridge becomes the longest in East Africa costing $300 million.The bridge has reduced travel time to 4 minutes from 2 hours.
View attachment 3121578View attachment 3121580
Na mimi nitakuwa wa kwanza kulitumia.Walidai ni megastructures zisizo na faida.
====
Tanzania has completed the construction of the Magufuli Bridge on L. Victoria, Mwanza.The 3.2 Km bridge becomes the longest in East Africa costing $300 million.The bridge has reduced travel time to 4 minutes from 2 hours.
View attachment 3121578View attachment 3121580
Kwani SGR wanapanda...Walidai ni megastructures zisizo na faida.
====
Tanzania has completed the construction of the Magufuli Bridge on L. Victoria, Mwanza.The 3.2 Km bridge becomes the longest in East Africa costing $300 million.The bridge has reduced travel time to 4 minutes from 2 hours.
View attachment 3121578View attachment 3121580
Kama huna akili utaona CHADEMA ni kikwazo kwenye maendeleo ya nchi lakini kama unazo five Senses utatambua kuwa bila CHADEMA yote hayo unayoyaona leo usingeyaona.Mtu kuwasikiliza Chadema lazima uwe mwendawazimu
Sera ya Chadema wanapinga maendeleo ya vitu kama madaraja,shule hospitali,reli nk ndio maana nasema kuwasikiliza CHADEMA unahitaji kuwa mwendawazimu kwanzaKama huna akili utaona CHADEMA ni kikwazo kwenye maendeleo ya nchi lakini kama unazo five Senses utatambua kuwa bila CHADEMA yote hayo unayoyaona leo usingeyaona.
Mpongezeni na aliyehakikisha miradi hiyo inakamilika.Shujaa Magufuli atakumbukwa Milele 🌹
Makamanda ni wa kuonea huruma aiseeWalidai ni megastructures zisizo na faida.
====
Tanzania has completed the construction of the Magufuli Bridge on L. Victoria, Mwanza.The 3.2 Km bridge becomes the longest in East Africa costing $300 million.The bridge has reduced travel time to 4 minutes from 2 hours.
View attachment 3121578View attachment 3121580
Bila shaka umezaliwa kuanzia 2000,siyo kosa lako na historia ya nchii huijui.Sera ya Chadema wanapinga maendeleo ya vitu kama madaraja,shule hospitali,reli nk
Hawana maana yeyote
Uko sahihi.Mpongezeni na aliyehakikisha miradi hiyo inakamilika.