WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Safi sana.Kama wanalipa KODI huwezi kuwazuia kulitumia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana.Kama wanalipa KODI huwezi kuwazuia kulitumia
Pumbavu zako.JE YULE MJALAANA WA KUTOKEA KUZIMKAZI VP ATATAJA JINA MAGUFULI KWENYE UZINDUZI AU WATABADILI JINA NA KULIITA SAMIA
Sasa wanakuwa wanapinga nini na wanafanya nini? Kwani matumizi ya kodi kwa ubwege wao wanadhani ni kwa ajili gani?Kama wanalipa KODI huwezi kuwazuia kulitumia
Hatari 🔥🔥Walidai ni megastructures zisizo na faida.
====
Tanzania has completed the construction of the Magufuli Bridge on L. Victoria, Mwanza.The 3.2 Km bridge becomes the longest in East Africa costing $300 million.The bridge has reduced travel time to 4 minutes from 2 hours.
View attachment 3121578View attachment 3121580
Mlipa kodi anayo haki ya kupendekeza na kupanga matumizi ya kodi anayolipa.Sasa wanakuwa wanapinga nini na wanafanya nini? Kwani matumizi ya kodi kwa ubwege wao wanadhani ni kwa ajili gani?
Kosa langu nini we kiazi?Sikuwahi kuona ufinyu wa akili kama huu wa mleta mada!
Ungekaa kimya ingekusaidia kuficha ujinga
Yuko sahihi mleta mada Chadema wajinga unapinga ujenzi wa daraja kesho unatumia,unapinga SGR kesho unatumiaSikuwahi kuona ufinyu wa akili kama huu wa mleta mada!
Ungekaa kimya ingekusaidia kuficha ujinga
Umeshindwa kuelewa CHADEMA wanalipa kodi piaKosa langu nini we kiazi?
Hoja ya kijinga sana, imetolewa na mjinga na mpuuzi anayedhani pesa za ujenzi wa miundombinu ni Toka mfukoni mwa Rais wa nchi au Chama tawala.Walidai ni megastructures zisizo na faida.
====
Tanzania has completed the construction of the Magufuli Bridge on L. Victoria, Mwanza.The 3.2 Km bridge becomes the longest in East Africa costing $300 million.The bridge has reduced travel time to 4 minutes from 2 hours.
View attachment 3121578View attachment 3121580
Vipi wakisema waache kulipa kodi wasitumie hivyo vitu? mtawakubalia?Yuko sahihi mleta mada Chadema wajinga unapinga ujenzi wa daraja kesho unatumia,unapinga SGR kesho unatumia
Katika vyama vya siasa vya kijinga Chadema inashika namba moja
Toa mawazo yako,je walitumue au wasilitumie?Walidai ni megastructures zisizo na faida.
====
Tanzania has completed the construction of the Magufuli Bridge on L. Victoria, Mwanza.The 3.2 Km bridge becomes the longest in East Africa costing $300 million.The bridge has reduced travel time to 4 minutes from 2 hours.
View attachment 3121578View attachment 3121580
Mtu kuwasikiliza Chadema lazima uwe mwendawazi
Kwani sio walipa Kodi ???Walidai ni megastructures zisizo na faida.
====
Tanzania has completed the construction of the Magufuli Bridge on L. Victoria, Mwanza.The 3.2 Km bridge becomes the longest in East Africa costing $300 million.The bridge has reduced travel time to 4 minutes from 2 hours.
View attachment 3121578View attachment 3121580
Mwaipaya hana akili,bi kizimkazi amekuta miradi iliyoachwa ikihitaji pesa hata kama mwaipaya angekabidhiwa nchi ikiwa na miradi kama hii angekopa tu"Tangia mwaka 1961 mpaka 2021 maraisi waliopita yaani watano walikopa takrikani 60Trilioni means ni wastani wa 1 trilioni kila mwaka walikopa ,ila Bibi Kizimakazi na hapa ipo ndani ya miaka mitatu amekopa 30 Trilioni wastani wa 10 Trilioni kila mwaka ,tukimpa miaka mitano au kumi ni kama alivyosema ndugai hii nchi itapigwa mnada" - Twaha Mwaipaya