Mwanza: Daraja la Magufuli limekamilika. Je, Makamanda wa CHADEMA watalitumia?

Mwanza: Daraja la Magufuli limekamilika. Je, Makamanda wa CHADEMA watalitumia?

Uko sahihi.
Ni ujinga kudhania ujenzi wa miundombinu ni hisani Toka Serikalini , watu wajue ni wajibu wa pesa zetu za kodi kurudi Tena kwetu wenyewe kwa njia mbalimbali, ya huduma za Jamii ikiwepo miundombinu.

Ni ujinga kudhani Viongozi wanafanya hayo kwa utashi wao binafsi.

Tanzania Bado watu wako gizani kuhusu elimu ya uraia, haki za raia, wajibu wa Serikali, na how country is governed!!

Shame on you 🤔🤔💋
 
Ni ujinga kudhania ujenzi wa miundombinu ni hisani Toka Serikalini , watu wajue ni wajibu wa pesa zetu za kodi kurudi Tena kwetu wenyewe kwa njia mbalimbali, ya huduma za Jamii ikiwepo miundombinu.

Ni ujinga kudhani Viongozi wanafanya hayo kwa utashi wao binafsi.

Tanzania Bado watu wako gizani kuhusu elimu ya uraia, haki za raia, wajibu wa Serikali, na how country is governed!!

Shame on you 🤔🤔💋
Watu wanapenda kusikiliza miziki ya Zuchu na Mondi muda wote elimu ya Tanzania wataijulia wapi?
 
Hoja ya kijinga sana, imetolewa na mjinga na mpuuzi anayedhani pesa za ujenzi wa miundombinu ni Toka mfukoni mwa Rais wa nchi au Chama tawala.

Miundo mbinu inajengwa kwa pesa za kodi Toka TAX PAYERS watanzania wafanya biashara na watu wa kawaida wanachama wa vyama vyote vya siasa ni Tax payers.

Ikijengwa kwa mkopo, mkopo unalipwa kwa mapato ya ndani ikiwemo kodi zetu wenyewe regardless political affiliation of tax payers.

Umeleta Uzi wenye maudhui yaliyovunja REKODI YA JUU YA UJINGA DUNIANI.

🤔🤔🤔
Hoja ni kuwa mlisema hizi ni Megastructure zisizo na faida.
 

Attachments

  • downloadfile-24.jpg
    downloadfile-24.jpg
    38.4 KB · Views: 2
  • downloadfile-35.jpg
    downloadfile-35.jpg
    44.8 KB · Views: 2
Walidai ni megastructures zisizo na faida.

====

Tanzania has completed the construction of the Magufuli Bridge on L. Victoria, Mwanza.The 3.2 Km bridge becomes the longest in East Africa costing $300 million.The bridge has reduced travel time to 4 minutes from 2 hours.
View attachment 3121578View attachment 3121580
Umeandika ujinga, basi iambie serikali Yako hiyo gharama za mkopo watumie Kodi za ccm tu
 
Back
Top Bottom