Cpp
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 1,199
- 2,403
Hili nalo neno linamfaa sana, kwa akili za watu kama hawa tutegemee hii nchi kuendelea kweli?Jitahidi watu wasijue kuwa huna akili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili nalo neno linamfaa sana, kwa akili za watu kama hawa tutegemee hii nchi kuendelea kweli?Jitahidi watu wasijue kuwa huna akili.
Ni ujinga kudhania ujenzi wa miundombinu ni hisani Toka Serikalini , watu wajue ni wajibu wa pesa zetu za kodi kurudi Tena kwetu wenyewe kwa njia mbalimbali, ya huduma za Jamii ikiwepo miundombinu.Uko sahihi.
Mwaipaya hana akili,bi kizimkazi amekuta miradi iliyoachwa ikihitaji pesa hata kama mwaipaya angekabidhiwa nchi ikiwa na miradi kama hii angekopa tu
Si mlisema ni megastracture zisizo na faida?Umeshindwa kuelewa CHADEMA wanalipa kodi pia
Wa kukumbukwa ni TAX PAYERS!!! over!! 🤔🤔Shujaa Magufuli atakumbukwa Milele 🌹
Watu wanapenda kusikiliza miziki ya Zuchu na Mondi muda wote elimu ya Tanzania wataijulia wapi?Ni ujinga kudhania ujenzi wa miundombinu ni hisani Toka Serikalini , watu wajue ni wajibu wa pesa zetu za kodi kurudi Tena kwetu wenyewe kwa njia mbalimbali, ya huduma za Jamii ikiwepo miundombinu.
Ni ujinga kudhani Viongozi wanafanya hayo kwa utashi wao binafsi.
Tanzania Bado watu wako gizani kuhusu elimu ya uraia, haki za raia, wajibu wa Serikali, na how country is governed!!
Shame on you 🤔🤔💋
Hoja ni kuwa mlisema hizi ni Megastructure zisizo na faida.Hoja ya kijinga sana, imetolewa na mjinga na mpuuzi anayedhani pesa za ujenzi wa miundombinu ni Toka mfukoni mwa Rais wa nchi au Chama tawala.
Miundo mbinu inajengwa kwa pesa za kodi Toka TAX PAYERS watanzania wafanya biashara na watu wa kawaida wanachama wa vyama vyote vya siasa ni Tax payers.
Ikijengwa kwa mkopo, mkopo unalipwa kwa mapato ya ndani ikiwemo kodi zetu wenyewe regardless political affiliation of tax payers.
Umeleta Uzi wenye maudhui yaliyovunja REKODI YA JUU YA UJINGA DUNIANI.
🤔🤔🤔
Kumbu kumbu zake ni nyingi sanaShujaa Magufuli atakumbukwa Milele 🌹
Lakini hamkuacha kuchukua kodi za CHADEMA!Si mlisema ni megastracture zisizo na faida?
CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu na majuha.Hili nalo neno linamfaa sana, kwa akili za watu kama hawa tutegemee hii kuendelea kweli?
Acha kujitoa fahamu we pimbi.Lakini hamkuacha kuchukua kodi za CHADEMA!
ilibidi muwandoe katika kulipa kodi kama mlikuwa hamtaki walitumieHoja ni kuwa mlisema hizi ni Megastructure zisizo na faida.
Kwa kodi za naniWalidai ni megastructures zisizo na faida.
====
Tanzania has completed the construction of the Magufuli Bridge on L. Victoria, Mwanza.The 3.2 Km bridge becomes the longest in East Africa costing $300 million.The bridge has reduced travel time to 4 minutes from 2 hours.
View attachment 3121578View attachment 3121580
Sahihi kabisa.ilibidi muwandoe katika kulipa kodi kama mlikuwa hamtaki walitumie
Naam sometimes zingine ni WHITE ELEPHANT projectHoja ni kuwa mlisema hizi ni Megastructure zisizo na faida.
Umeandika ujinga, basi iambie serikali Yako hiyo gharama za mkopo watumie Kodi za ccm tuWalidai ni megastructures zisizo na faida.
====
Tanzania has completed the construction of the Magufuli Bridge on L. Victoria, Mwanza.The 3.2 Km bridge becomes the longest in East Africa costing $300 million.The bridge has reduced travel time to 4 minutes from 2 hours.
View attachment 3121578View attachment 3121580
Hawa wanaona hata kujengewa hilo daraja ni hisani sio kazi ya Kodi zetuCCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu na majuha.
Kumbu kumbu zake ni nyingi sanaShujaa Magufuli atakumbukwa Milele 🌹
Hata Chato Airport imejengwa kwa kodi za CHADEMA pia!Walidai ni megastructures zisizo na faida.
====
Tanzania has completed the construction of the Magufuli Bridge on L. Victoria, Mwanza.The 3.2 Km bridge becomes the longest in East Africa costing $300 million.The bridge has reduced travel time to 4 minutes from 2 hours.
View attachment 3121578View attachment 3121580