digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Mkuu Unaota kutoka kijiji Gani!? Niko Kanda ya ziwa ,mita 200 toka ziwani sato na sangara hawakamatiki bei kubwa sana tofauti na udhaniavyoSafi sana sasa dagaa na samaki sato zishuke bei maana zipite kwa urahisi hapo ziwahi kufika dar.