Mwanza: Daraja la Magufuli limekamilika. Je, Makamanda wa CHADEMA watalitumia?

Mwanza: Daraja la Magufuli limekamilika. Je, Makamanda wa CHADEMA watalitumia?

Time travel from 2 hrs to 4 minutes??

Impressive.
 
..Nyerere hakuwa na pension pia, lakini hawa wa sasa hivi mpaka wake na waume zao watalipwa pension kwa kodi zetu.

..hivi kweli ni halali kumlipa Baba Abduli pension? Yuko yeyote anamjua Baba Abduli anafananaje? Ni tumlipe pension kwa kazi gani aliyolifanyia taifa?

Na enzi hizo nyerere rasilimali nyingi za nchi alizihifadhi kwa vizazi vijavyo ,alifungua viwanda vingi tu ,hawa wa sasa ni zaidi ya majambazi ,yaani mtu ana mshahara kufuru ,hapo hapo ana bajeti ya kumlipia kila kitu means mshahara haugusi,then hakatwi kodi,mwenza analipiwa yaani ni kufuru tupu ,kwa mwendo huo watakopa hadi Trilioni 50 kwa mwaka mmoja maana matumizi yasiyo ya lazima ni mengi sana.
 
Hayo malofa ya chadema ndiyo yatakuwa ya kwanza kupita hapo darajani bila aibu
 
Kwani chadema ndio waliotuletea Magufuli (rip)? Wewe acha hizo.
Magufuri ni nani katika nchi hii???Kwa taarifa yako hakuna Rais aliyeingia madarakani akakuta nchi imeendelea kama magufuri.Magufuri alikuta kila kitu mfano;wasomi,wataalam mbalimbali,vyama vya siasa imara,miji bora na majiji bora,barabara bora,fedha kibao,taasisi imara,umoja na mshikamano wa Watanzania,Siasa safi,Ardhi safi,Watu wazalendo wenye upendo kama familia moja,uchumi imara,Elimu bora,Kuheshimiana na kuvumiliana nk.Lakini yeye alipoingia alivuruga kila kitu akaleta ukabila,uchama na ufisadi.
 
Magufuri ni nani katika nchi hii???Kwa taarifa yako hakuna Rais aliyeingia madarakani akakuta nchi imeendelea kama magufuri.Magufuri alikuta kila kitu mfano;wasomi,wataalam mbalimbali,vyama vya siasa imara,miji bora na majiji bora,barabara bora,fedha kibao,taasisi imara,umoja na mshikamano wa Watanzania,Siasa safi,Ardhi safi,Watu wazalendo wenye upendo kama familia moja,uchumi imara,Elimu bora,Kuheshimiana na kuvumiliana nk.Lakini yeye alipoingia alivuruga kila kitu akaleta ukabila,uchama na ufisadi.
Tatizo la afya ya akili ni kubwa
 
Watalitumia sababu limejengea Kwa Kodi zao.

Huna audacity kuwakataza wasitumie
Hata kama hawakumkubali Magufuli.

Limejengea mkopo na mkopo huo utalipwa Kwa Kodi watakazokamuliwa so Wana haki ya kukitumia.
 
Walidai ni megastructures zisizo na faida.

====

Tanzania has completed the construction of the Magufuli Bridge on L. Victoria, Mwanza.The 3.2 Km bridge becomes the longest in East Africa costing $300 million.The bridge has reduced travel time to 4 minutes from 2 hours.

View attachment 3121578View attachment 3121580
Tunahitaji barabara miundo mbinu ya uhakika kama hii nchi nzima. Shule, hospitali, barabara, umeme, maji, masoko, vituo vya usafiri.

Maendeleo ya vitu yatasaidia kuleta maendeleo ya watu.
 
Back
Top Bottom