Mwanza: Daraja la Magufuli limekamilika. Je, Makamanda wa CHADEMA watalitumia?

Mwanza: Daraja la Magufuli limekamilika. Je, Makamanda wa CHADEMA watalitumia?

Kama unabisha hili kapimwe akili kwanza ndiyo urudi hapa
Weka video hapa usifikiri kila mtu mjinga mwenzio...

Nimekutajia stendi aliyojenga kwa watu unaosema aliwachukia, nitajie na wewe huduma ya kijamii aliyowanyima.
 
Walidai ni megastructures zisizo na faida.

====

Tanzania has completed the construction of the Magufuli Bridge on L. Victoria, Mwanza.The 3.2 Km bridge becomes the longest in East Africa costing $300 million.The bridge has reduced travel time to 4 minutes from 2 hours.

View attachment 3121578View attachment 3121580
Kwani yule wa CCM aliyetaka bwawa la umeme lisiwepo pale umemuuliza kama anatumia huo umeme?
 
Mtu kuwasikiliza Chadema lazima uwe mwendawazimu
Sio mwendawazimu tu bali mtu mwenye uwendawazimu tayari halafu anatokea tena mchawi akamlogelea mbali.Mtu wa sampuli hii ndiye anaweza kuwasikiliza chadema.
 
Litaondokaje wakati ni mbegu iliyomea?
Kumjua adui yako unapaswa angalau uwe na nusu ya uwezo wake...

Nyinyi endeleeni kufata maelekezo...

Halafu kwanini tangu Nape na Januari wawekwe kando thread za kumtukana Magufuli zimepungua..?
 
Kumjua adui yako unapaswa angalau uwe na nusu ya uwezo wake...

Nyinyi endeleeni kufata maelekezo...

Halafu kwanini tangu Nape na Januari wawekwe kando thread za kumtukana Magufuli zimepungua..?
Hilo unajua ww. Mimi na hayo maccm menzio sipo kabisa.
 
Unajua hesabu? Serikali ya Tanzania kuanzia mwaka 1961 hadi 2021 ilikuwa imekopa Trilioni 60 ,Tafuta wastani kwa mwaka.....Serikali ya Bi Kimzikazi ndani ya miaka mitatu imekoa trilioni 30 tafuta wastani kwa mwaka.

Haujaambiwa exchange rate maana tukitaka kukumbushia zamani basi hata nyerere alikuwa siyo mwizi wa mali za umma ,alikuwa hana matumizi yasiyo na kichwa wala miguu hadi anafariki alikuwa na nyumba moja tu msasani tena zile kama za magomeni upande vyumba kati korido.

Nyerere hadi anastaafu alikuwa hana gari ya maana hadi wizara ya Mambo ya nje wakampa Nissan Muranno,alikuwa hana nyumba kwao huko Butiama ikabidi wamjengee na tena akataka aikatae maana ni kubwa kwani yeye tembo?

..Nyerere hakuwa na pension pia, lakini hawa wa sasa hivi mpaka wake na waume zao watalipwa pension kwa kodi zetu.

..hivi kweli ni halali kumlipa Baba Abduli pension? Yuko yeyote anamjua Baba Abduli anafananaje? Ni tumlipe pension kwa kazi gani aliyolifanyia taifa?
 
Sera ya Chadema wanapinga maendeleo ya vitu kama madaraja,shule hospitali,reli nk ndio maana nasema kuwasikiliza CHADEMA unahitaji kuwa mwendawazimu kwanza

Hawana maana yeyote
Ccm hawapendi kuboresha elimu ktk taifa hili maana ujinga ni mtaji wao mkubwa wanaotumia kuendelea kuwa madarakani. Just imagine kuna mtu anaweza kuamini uharo ulioleta hapa 'eti chadema wanapinga maeneleo'
 
Mtu kuwasikiliza Chadema lazima uwe mwendawazimu
20240929_170116.jpg
 
Back
Top Bottom