Unajua hesabu? Serikali ya Tanzania kuanzia mwaka 1961 hadi 2021 ilikuwa imekopa Trilioni 60 ,Tafuta wastani kwa mwaka.....Serikali ya Bi Kimzikazi ndani ya miaka mitatu imekoa trilioni 30 tafuta wastani kwa mwaka.
Haujaambiwa exchange rate maana tukitaka kukumbushia zamani basi hata nyerere alikuwa siyo mwizi wa mali za umma ,alikuwa hana matumizi yasiyo na kichwa wala miguu hadi anafariki alikuwa na nyumba moja tu msasani tena zile kama za magomeni upande vyumba kati korido.
Nyerere hadi anastaafu alikuwa hana gari ya maana hadi wizara ya Mambo ya nje wakampa Nissan Muranno,alikuwa hana nyumba kwao huko Butiama ikabidi wamjengee na tena akataka aikatae maana ni kubwa kwani yeye tembo?