Mwanza: Daraja la Magufuli limekamilika. Je, Makamanda wa CHADEMA watalitumia?

Mwanza: Daraja la Magufuli limekamilika. Je, Makamanda wa CHADEMA watalitumia?

"Tangia mwaka 1961 mpaka 2021 maraisi waliopita yaani watano walikopa takrikani 60Trilioni means ni wastani wa 1 trilioni kila mwaka walikopa ,ila Bibi Kizimkazi na hapa ipo ndani ya miaka mitatu amekopa 30 Trilioni wastani wa 10 Trilioni kila mwaka ,tukimpa miaka mitano au kumi ni kama alivyosema ndugai hii nchi itapigwa mnada" - Twaha Mwaipaya
Watanzania tutafute maarifa.

Unafaham Tsh Trillion 10 ya Leo ni USD ngapi?

Na Trillion 1 ya 2010 ilikuwa Sawa na USD ngapi ?
 
Mnatuonea sana vijana 2000 mtoto akinyea mkono usiukate mwelekeze Ata kuelewa kutulaumu siyo solution hakuna aliyezaliwa anajua hapa Duniani wote tunajifunza umri wangu ni miaka 24 tu naomba kuwasilisha
Bila shaka umezaliwa kuanzia 2000,siyo kosa lako na historia ya nchii huijui.
 
Watanzania tutafute maarifa.

Unafaham Tsh Trillion 10 ya Leo ni USD ngapi?

Na Trillion 1 ya 2010 ilikuwa Sawa na USD ngapi ?

Unajua hesabu? Serikali ya Tanzania kuanzia mwaka 1961 hadi 2021 ilikuwa imekopa Trilioni 60 ,Tafuta wastani kwa mwaka.....Serikali ya Bi Kimzikazi ndani ya miaka mitatu imekoa trilioni 30 tafuta wastani kwa mwaka.

Haujaambiwa exchange rate maana tukitaka kukumbushia zamani basi hata nyerere alikuwa siyo mwizi wa mali za umma ,alikuwa hana matumizi yasiyo na kichwa wala miguu hadi anafariki alikuwa na nyumba moja tu msasani tena zile kama za magomeni upande vyumba kati korido.

Nyerere hadi anastaafu alikuwa hana gari ya maana hadi wizara ya Mambo ya nje wakampa Nissan Muranno,alikuwa hana nyumba kwao huko Butiama ikabidi wamjengee na tena akataka aikatae maana ni kubwa kwani yeye tembo?
 
Mnatuonea sana vijana 2000 mtoto akinyea mkono usiukate mwelekeze Ata kuelewa kutulaumu siyo solution hakuna aliyezaliwa anajua hapa Duniani wote tunajifunza umri wangu ni miaka 24 tu naomba kuwasilisha
Uko sahihi 100%,samahani kama nitakuwa nimekukwaza ndugu yangu,unajua lugha za kejeli za vijana wenzio zinasababisha tuwape ukweli kwa kutumia historia.Vijana wengi wanaona marais wote wanne waliotangulia kabla ya Awamu ya Tano hakuna walichofanya ila baada ya Awamu ya Tano ndiyo nchi imejengwa.
 
Walidai ni megastructures zisizo na faida.

====

Tanzania has completed the construction of the Magufuli Bridge on L. Victoria, Mwanza.The 3.2 Km bridge becomes the longest in East Africa costing $300 million.The bridge has reduced travel time to 4 minutes from 2 hours.
View attachment 3121578View attachment 3121580
Kwani hela zilizojenga chadema hawakulipa kodi ili kuwezesha upatikaji wake?
 
Uko sahihi 100%,samahani kama nitakuwa nimekukwaza ndugu yangu,unajua lugha za kejeli za vijana wenzio zinasababisha tuwape ukweli kwa kutumia historia.Vijana wengi wanaona marais wote wanne waliotangulia kabla ya Awamu ya Tano hakuna walichofanya ila baada ya Awamu ya Tano ndiyo nchi imejengwa.
Tunapenda mtueleweshe sema amani sana mkuu tuko pamoja
 
Huelewi unaongea nini wewe hilo daraja kiungo muhimu mno Afrika mashariki kwa wa magari ya Uganda,Rwanda ,Burundi ,kongo na Kenya na Tanzania

Hilo daraja ni International bridge sio local bridge hilo nenda hapo darajani uone namba za magari zinapita hapo na namba zao za nchi gani ni International bridge
Umekurupuka! Niliemquote alikuwaanazungumzia samaki na hilo daraja ...nilichomwambia samaki kusafirishwa hakuhusiani na hilo daraja. Jaribu kuwa muelewa
 
Walidai ni megastructures zisizo na faida.

====

Tanzania has completed the construction of the Magufuli Bridge on L. Victoria, Mwanza.The 3.2 Km bridge becomes the longest in East Africa costing $300 million.The bridge has reduced travel time to 4 minutes from 2 hours.

View attachment 3121578View attachment 3121580
Sasa Chadema wanahusika vipi hapo mkuuu.
Je unazani Chadema hawalipi Kodi mkuu.
Achaa mentality za kimaskini na za kichuki .

Chadema ninwanachi.kama walivyo CCM pia tofauti ni itikadii tuuu .
So leave such kind of hypothetically spirits and poverty spirits
 
Weka ushahidi hapa wa video/picha ukisema CHADEMA wanapinga ujenzi wa daraja hilo.

Kodi za wananchi zinapotumika haziangalii chama wala itikadi.

Kwani mkandarasi wa hilo daraja ni mwanachama wa CCM au CHADEMA?

Jibu utalipata hapa,sasa kama mkandarasi hata sio raia na hana itikadi yoyote kwanini walipa kodi wazuiwe kiitikadi?

 
Back
Top Bottom