Mwanza: Daraja la Magufuli limekamilika. Je, Makamanda wa CHADEMA watalitumia?

Mwanza: Daraja la Magufuli limekamilika. Je, Makamanda wa CHADEMA watalitumia?

Walidai ni megastructures zisizo na faida.

====

Tanzania has completed the construction of the Magufuli Bridge on L. Victoria, Mwanza.The 3.2 Km bridge becomes the longest in East Africa costing $300 million.The bridge has reduced travel time to 4 minutes from 2 hours.
View attachment 3121578View attachment 3121580
Limejengwa kwa mshahara wa Magufuli? Kama limejengwa kwa kodi ya nchi ni haki ya mtu yoyote kulitumia bila kujali ni wa chama gani, awe raia au asiwe raia. Una jingine tukusaidie? Huko nyumbani kwa Magufuli ndio mnaweza kuwazuia wapinzani maana ni kwake, na sio kwenye mali za umma.
 
Sasa kwa nini wapinge kodi kutumika kujenga hilo daraja hao Chadema kama sio upunguani na utaahira wa akili ni nini?

Yaani walikuwa wanapinga kama mabwege hawajui umuhimu wa hilo daraja

Kanda ya ziwa ndio wanajua vizuri mno umuhimu wake

Chadema hilo daraja kukamilika wasahau kushinda kanda ya ziwa sababu walipinga hadharani lisijengwe impact wataiona kwenye chaguzi kitakachowakuta wataamkia shikamoo daraja la Magufuli
Huu ujinga mnaolishana na kuumani hadi unawafanya muonekane mabwege. Magufuli alipingwa kwa udictator uchwara wake, lakini ili apate kwa kujifichia, kitengo chake cha propaganda kikawa kinapotosha kuwa miradi yake inapingwa na wapinzani lengo ikiwa ni kufinika uovu wake. Na kwakuwa nyie ni bendera fuata upepo, kila propaganda mnayolishwa mnaimeza kama mazuzu.
 
Huu ujinga mnaolishana na kuumani hadi unawafanya muonekane mabwege. Magufuli alipingwa kwa udictator uchwara wake, lakini ili apate kwa kujifichia, kitengo chake cha propaganda kikawa kinapotosha kuwa miradi yake inapingwa na wapinzani lengo ikiwa ni kufinika uovu wake. Na kwakuwa nyie ni bendera fuata upepo, kila propaganda mnayolishwa mnaimeza kama mazuzu.
Sio kweli Chadema walipinga waziwazi kuwa Magufuli mkabila anapeleka hilo daraja kwao waziwazi wala sio siri

Wakati alilipeleka likiwa hitaji kubwa kwa watu wa kanda ya ziwa na nchi jirani
Haikuwa propaganda
 
Sio kweli Chadema walipinga waziwazi kuwa Magufuli mkabila anapeleka hilo daraja kwao waziwazi wala sio siri

Wakati alilipeleka likiwa hitaji kubwa kwa watu wa kanda ya ziwa na nchi jirani
Haikuwa propaganda
Una ushahidi wa kikao chochote cha cdm wakipinga ujenzi wa hilo daraja? Nijuavyo chama ni vikao, weka ushahidi wa vikao hivyo kama ww sio bendera fuata upepo. Suala la kuwa Magufuli alikuwa na upendeleo wa wazi kwa kanda ya ziwa, hilo halina mjadala. Na saratani ile ya Magufuli imemea, kwasasa kizimkazi nayo inapendelewa kwa uwazi mno.
 
kama hilo daraja sio la umma ni la aliyeanzisha huo mradi basi mkamzike nalo. au kama ni mali ya kijani muweke bango kuwa daraja hili ni mali ya ccm na si vyama vingine kama mlivyotaifisha mali zingine na viwanja vya umma.
 
Una ushahidi wa kikao chochote cha cdm wakipinga ujenzi wa hilo daraja? Nijuavyo chama ni vikao, weka ushahidi wa vikao hivyo kama ww sio bendera fuata upepo. Suala la kuwa Magufuli alikuwa na upendeleo wa wazi kwa kanda ya ziwa, hilo halina mjadala. Na saratani ile ya Magufuli imemea, kwasasa kizimkazi nayo inapendelewa kwa uwazi mno.
Daraja la Magufuli limekamilika mwambieni Tundu Lisu,Lema na Mbowe wameze Wembe

Wapuuzi wakubwa
 
Una ushahidi wa kikao chochote cha cdm wakipinga ujenzi wa hilo daraja? Nijuavyo chama ni vikao, weka ushahidi wa vikao hivyo kama ww sio bendera fuata upepo. Suala la kuwa Magufuli alikuwa na upendeleo wa wazi kwa kanda ya ziwa, hilo halina mjadala. Na saratani ile ya Magufuli imemea, kwasasa kizimkazi nayo inapendelewa kwa uwazi mno.
Wewe ulikuwa kindakindaki kusema ni megastructure za kishamba.
 
Makaburu weupe wa Afrika ya Kusini walijenga miundo mbinu ya barabara za kisasa za kila aina na kuwa nchi yenye maendeleo ya vitu kupita nchi zote Afrika na hata kupita nchi za ulaya na asia, lakini raia hawakukubali kuonewa, kunyanyaswa, kupuuzwa, kubaguliwa na wakaamka kupambana na utawala wa kibaguzi ili Maendeleo ya Watu, Haki na Demokrasia viwe mikononi mwa watu badala ya kikundi cha watawala dhalimu wachache.
 
Wewe ulikuwa kindakindaki kusema ni megastructure za kishamba.
Ni kweli, na mimi nilisema kabisa, badala ya kujenga daraja la 700b, nilishauri ingetumika 200b, kununua vivuko vinne vya 50b@, na 500b, ijenge viwanda huko huko kanda ya ziwa ili watu wengi wapate ajira. Hivyo hata sasa nasimamamia ninachokiamini, wala usidhani kama naona ujenzi wa hilo daraja ni kitu cha maana sana.

Ukitaka fungua uzi wa ujenzi wa hilo daraja, utaona nilichosema, hilo neno ushamba sikulitumia kwenye huo ujenzi, na hii sio kwamba Magufuli hakuwa mshamba. Sina popote niliposifia ujenzi huo na hata sasa sisifii, japo unadhani nalionea wivu.
 
Ni kweli, na mimi nilisema kabisa, badala ya kujenga daraja la 700b, nilishauri ingetumika 200b, kununua vivuko vinne vya 50b@, na 500b, ijenge viwanda huko huko kanda ya ziwa ili watu wengi wapate ajira. Hivyo hata sasa nasimamamia ninachokiamini, wala usidhani kama naona ujenzi wa hilo daraja ni kitu cha maana sana.

Ukitaka fungua uzi wa ujenzi wa hilo daraja, utaona nilichosema, hilo neno ushamba sikulitumia kwenye huo ujenzi, na hii sio kwamba Magufuli hakuwa mshamba. Sina popote niliposifia ujenzi huo na hata sasa sisifii, japo unadhani nalionea wivu.
Gharama za uendeshaji?
Ni kweli, na mimi nilisema kabisa, badala ya kujenga daraja la 700b, nilishauri ingetumika 200b, kununua vivuko vinne vya 50b@, na 500b, ijenge viwanda huko huko kanda ya ziwa ili watu wengi wapate ajira. Hivyo hata sasa nasimamamia ninachokiamini, wala usidhani kama naona ujenzi wa hilo daraja ni kitu cha maana sana.

Ukitaka fungua uzi wa ujenzi wa hilo daraja, utaona nilichosema, hilo neno ushamba sikulitumia kwenye huo ujenzi, na hii sio kwamba Magufuli hakuwa mshamba. Sina popote niliposifia ujenzi huo na hata sasa sisifii, japo unadhani nalionea wivu.
[/QUOTE
Ni kweli, na mimi nilisema kabisa, badala ya kujenga daraja la 700b, nilishauri ingetumika 200b, kununua vivuko vinne vya 50b@, na 500b, ijenge viwanda huko huko kanda ya ziwa ili watu wengi wapate ajira. Hivyo hata sasa nasimamamia ninachokiamini, wala usidhani kama naona ujenzi wa hilo daraja ni kitu cha maana sana.

Ukitaka fungua uzi wa ujenzi wa hilo daraja, utaona nilichosema, hilo neno ushamba sikulitumia kwenye huo ujenzi, na hii sio kwamba Magufuli hakuwa mshamba. Sina popote niliposifia ujenzi huo na hata sasa sisifii, japo unadhani nalionea wivu.
Ni kweli, na mimi nilisema kabisa, badala ya kujenga daraja la 700b, nilishauri ingetumika 200b, kununua vivuko vinne vya 50b@, na 500b, ijenge viwanda huko huko kanda ya ziwa ili watu wengi wapate ajira. Hivyo hata sasa nasimamamia ninachokiamini, wala usidhani kama naona ujenzi wa hilo daraja ni kitu cha maana sana.

Ukitaka fungua uzi wa ujenzi wa hilo daraja, utaona nilichosema, hilo neno ushamba sikulitumia kwenye huo ujenzi, na hii sio kwamba Magufuli hakuwa mshamba. Sina popote niliposifia ujenzi huo na hata sasa sisifii, japo unadhani nalionea wivu.
Sasa hivyo vivuko unadhania ni rahisi kuviendesha? Kama hapo Magogoni kila siku jam. Bora daraja la kudumu ambalo litasaidia uchumi wa great lakes kukua.
 
Mtu kuwasikiliza Chadema lazima uwe mwendawazimu
CDM ni chama kinachoamimi katika kupayuka na kuaminisha uongo uwe ukweli. Mwaka 2015 vijana wasomi wengi walikiama hiki chama cha CDM baada ya kutumia uongo kuaminisha umma kuwa Lowassa ni fisadi. Baada ya, muda akawa mgombea urais wa cdm.
Mwaka huu Lissu anataka kuaminisha umma, kuwa RC Makonda alishiriki kutaka kumuua mwaka 2017 .Yaan ni watu waongo na tuwaepuke. Tuwe makini na watu wapayukaji na waongo kama hawa.
 
Daraja tutatumia, SGR tunapanda, ndege tunaruka nazo kama hamtaki hameni nchi wapumbavu kabisa nyie misukule ya dhalim Magufuli.
 
Back
Top Bottom