Ni kweli, na mimi nilisema kabisa, badala ya kujenga daraja la 700b, nilishauri ingetumika 200b, kununua vivuko vinne vya 50b@, na 500b, ijenge viwanda huko huko kanda ya ziwa ili watu wengi wapate ajira. Hivyo hata sasa nasimamamia ninachokiamini, wala usidhani kama naona ujenzi wa hilo daraja ni kitu cha maana sana.
Ukitaka fungua uzi wa ujenzi wa hilo daraja, utaona nilichosema, hilo neno ushamba sikulitumia kwenye huo ujenzi, na hii sio kwamba Magufuli hakuwa mshamba. Sina popote niliposifia ujenzi huo na hata sasa sisifii, japo unadhani nalionea wivu.
[/QUOTE
Ni kweli, na mimi nilisema kabisa, badala ya kujenga daraja la 700b, nilishauri ingetumika 200b, kununua vivuko vinne vya 50b@, na 500b, ijenge viwanda huko huko kanda ya ziwa ili watu wengi wapate ajira. Hivyo hata sasa nasimamamia ninachokiamini, wala usidhani kama naona ujenzi wa hilo daraja ni kitu cha maana sana.
Ukitaka fungua uzi wa ujenzi wa hilo daraja, utaona nilichosema, hilo neno ushamba sikulitumia kwenye huo ujenzi, na hii sio kwamba Magufuli hakuwa mshamba. Sina popote niliposifia ujenzi huo na hata sasa sisifii, japo unadhani nalionea wivu.
Ni kweli, na mimi nilisema kabisa, badala ya kujenga daraja la 700b, nilishauri ingetumika 200b, kununua vivuko vinne vya 50b@, na 500b, ijenge viwanda huko huko kanda ya ziwa ili watu wengi wapate ajira. Hivyo hata sasa nasimamamia ninachokiamini, wala usidhani kama naona ujenzi wa hilo daraja ni kitu cha maana sana.
Ukitaka fungua uzi wa ujenzi wa hilo daraja, utaona nilichosema, hilo neno ushamba sikulitumia kwenye huo ujenzi, na hii sio kwamba Magufuli hakuwa mshamba. Sina popote niliposifia ujenzi huo na hata sasa sisifii, japo unadhani nalionea wivu.
Sasa hivyo vivuko unadhania ni rahisi kuviendesha? Kama hapo Magogoni kila siku jam. Bora daraja la kudumu ambalo litasaidia uchumi wa great lakes kukua.