Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 17,057
- 7,611
Utakuwa mwalimu wa somo la historia make nikiwa najibu kila point nilikuwa naipa mfano.. kumbe matusi nayo yanahitaji mifano!!????Matusi gani kaandika ,toa mfano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakuwa mwalimu wa somo la historia make nikiwa najibu kila point nilikuwa naipa mfano.. kumbe matusi nayo yanahitaji mifano!!????Matusi gani kaandika ,toa mfano
Safi kbsa![]()
Huu ujingaa ndo umempelekaa ndo akadakwa na vijana wa siro..
Watu wasiojulikanaJeshi la Polisi Mkoani Mwanza limemkamata Deogratius Kisandu ambaye ni mwalimu wa Shule ya Sekondari Mkolani kwa makosa ya kutumia vibaya mitandao ya kijamii kwa kuandika matusi.
Mtuhumiwa huyo anadaiwa kutumia ukurasa wake wa Facebook kuandika matusi kwa takribani wiki nzima.
Asili ya mti huo ni ulaya,au nuksi zitakuwa kwa waafrica tuAtakuwa amepanda ule mti wa kupanga uzazi nyumban kwake ndo maana yanamtokea hayo maana kuna mtu alisema huo mti si mchezo mchezo.
bwana were hahaaaaa nsona awamu hii INA deal mpaka namachizi...sijui nawao ni empty sethii serikali kwann wanahangaika na vitu vidogo ,huyu kisandu hapa jf tunampuuziaga tu nyuzi zake tunazisoma just for funny ,wao kwann wanashindwa kumpuuza tu
aiseeee mods muwe muwe mnaweka hata sehemu ya interview kwa mtu anayetka kujiunga na hii forum yenu ..maana kuna member wengine kama huyu nimachizi kabisaaa ..sasa mnapowapa nafasi yakujiunga ktk hii forum tukufu nchini mnatufnya tuwe tumechanganyika na machizi sehemu moja ..mwisho wasiku kichaa kikiwapnda watakuja watu ng'ate bure kama sio kutupiga na mawe...
1. Njiti ya kiberiti huteketeza msitu mkuu.hii serikali kwann wanahangaika na vitu vidogo ,huyu kisandu hapa jf tunampuuziaga tu nyuzi zake tunazisoma just for funny ,wao kwann wanashindwa kumpuuza tu
Huyu mtuhumiwa alipaswa atafutwe na madaktari,na si mapolisi![]()
Huu ujingaa ndo umempelekaa ndo akadakwa na vijana wa siro..
Huyu jamaa ni zaidi ya mpumbavu kabisahuyuu kweli chengaa