Mwanza: Deogratius Kisandu akamatwa na Polisi kwa kosa la kuandika matusi mitandaoni

Mwanza: Deogratius Kisandu akamatwa na Polisi kwa kosa la kuandika matusi mitandaoni

Huyu ni mtumishi wa umma. Ni mwalimu huyu. We kama mzazi unaona ni sawa mwanao afundishwe na mwalimu wa hivi? Mambo mengine mbona ni common sense tu hata bila kuingiza uanaharakati na ushabiki uchwara?

Asimamishwe kufundisha mpaka pale tatizo lake litakapoeleweka. Na kama ni mgonjwa wa akili basi apatiwe msaada stahili na mwajiri wake. Ni hayo tu sis....

mmmnh yaani tatizo sio kitu alichofanya bali ni utumishi?? ina maana angekua amefanya mtu ambae si mwajiriwa wa serikali,usingemkamata?....mmmnh ..........na unajuaje afya ya akili za hao wanaowafundisha watoto wenu na hawapo kwenye hizo social sites?.............usiku mwema bro,lol
 
Mtu kuandika hamu ya mwili wake nayo ni maneno machafu.. eeeeh au kuna mengine hamkutuhabarisha humu!!

Deo tunasubiri utoke uje utupe habari za huko wanapokupitisha.
Kweli kabisa coco.
Pale kaweka wazi na hajafanya maamuzi ya kutaka kutumia nguvu jambo ambalo ni baya zaidi
 
Mtu kuandika hamu ya mwili wake nayo ni maneno machafu.. eeeeh au kuna mengine hamkutuhabarisha humu!!

Deo tunasubiri utoke uje utupe habari za huko wanapokupitisha.
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] ati?
 
habari wakuu!.
Nipo njiani najirudisha kiotani kwangu (nyumbani), nikawa nimefungulia clouds Fm radio katika habari zilizonivutia ni hii inayomhusu huyu mwana JF mwenzetu Mtemi Deogratius Kisandu ambaye kakamatwa huko kwenye utawala wake jijini Mwanza. Katika maelezo ya afande anayehusika kutoa taarifa kasema Mtemi huyu alipokamatwa na kusomewa mashtaka yanayomkabili amekana kwa kushangaa kama vile hahusiki wala hana uelewa wa kinachoendelea kwenye account yake!.
Kutokana na taarifa ya afande huyo nimejiuliza ina maana mtemi account yake imedukuliwa na wajanja wa mji na kupost vitu vilivyopostiwa?. Au kuna mwanajamii wa kike alifanikiwa mtunuku mtemi wetu pendwa tunda kutuliza genye alizohitaji msaada kutoka kwao!.
Na kama mtemi katunukiwa kwanini hajaleta mrejesho na kama hajui chochote kuhusu yalokuwa yameandikwa kwenye ukurasa wake kwanini hakuja lalamika hapa JF tuyapuuzie maandiko yale!?.
 
mmmnh yaani tatizo sio kitu alichofanya bali ni utumishi?? ina maana angekua amefanya mtu ambae si mwajiriwa wa serikali,usingemkamata?....mmmnh ..........na unajuaje afya ya akili za hao wanaowafundisha watoto wenu na hawapo kwenye hizo social sites?.............usiku mwema bro,lol

Hayo mambo mengine TCRA na wizara ya elimu wanaweza kukujibu vizuri zaidi mkuu. Good night.....
 
Hapana bana,
Ni yeye tu.
Mbona toka hiyo akaunti imeanza kupost mambo hayo hajawahi kujitokeza kukanusha??
 
Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza limemkamata Deogratius Kisandu ambaye ni mwalimu wa Shule ya Sekondari Mkolani kwa makosa ya kutumia vibaya mitandao ya kijamii kwa kuandika matusi.

Mtuhumiwa huyo anadaiwa kutumia ukurasa wake wa Facebook kuandika matusi kwa takribani wiki nzima.

Nadhani Serikali isiishie kuhakiki walimu wenye Vyeti feki. Kuna haja ya kuhakiki hata nidhamu ya walimu.
 
509a5f71cb1730cb759137e7c0380063.jpg
 
Back
Top Bottom