Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanamlazimisha kuhamia CCM [emoji23]Yaan atasema wanamchafua kwa sababu kakataa kuwa waziri wa kuteuliwa
Sasa hiyo alikuwa anamwandikia kila mtu au yule alotaka kummalizia hamu. Kwanini aliipost public. Na akamatwe tu ili wakakaze nutsMtu kuandika hamu ya mwili wake nayo ni maneno machafu.. eeeeh au kuna mengine hamkutuhabarisha humu!!
Deo tunasubiri utoke uje utupe habari za huko wanapokupitisha.
Wanamlazimisha kuhamia CCM [emoji23]Yaan atasema wanamchafua kwa sababu kakataa kuwa waziri wa kuteuliwa
Wanampa umaarufu aliokuwa anautafuta usiku na mchana,Wanamlazimisha kuhamia CCM [emoji23]
Kama vipi nenda mfuate alipo unywenae chaiMtu kuandika hamu ya mwili wake nayo ni maneno machafu.. eeeeh au kuna mengine hamkutuhabarisha humu!!
Deo tunasubiri utoke uje utupe habari za huko wanapokupitisha.
Eee na wakati hana mpango,,we ngoja atakavyorudi kuandika utafikiri mtu mkubwaa nchi hiiWanamlazimisha kuhamia CCM [emoji23]
YUPO YULE Anaitwa Beira Baby boyHiv humu hakuna mwanafunzi wake hata m1? Nataman kuona product yake ikoje
Hahahaha naona leo hajaonekana kabisa huku....YUPO YULE Anaitwa Beira Baby boy
HahahahahaTangu atangaze kugombea urais 2020 wanamsakama sana .
Aliwatukanaje labda tupia hapa hio screenshot tuone hayo matusiNilitegemea sana jamaa leo kuwa chini ya magwanda ya kaki,maana hata alichopost jana kumtusi mtume Muhammadi kilistahili kabisa leo awe chini ya polisi maana hana tofauti na TITO.
Siku hizi umeanza kujielewa kidogo safi sana utakuwa mdada mzuriAmekuwa anaandika mengi kwa muda mrefu.. ila wanafunzi hao wanasoma mangapi ya wengine.. kama wanaweza ingia mitandaoni..
Yeye kusema hamu ya mwili sio tusi kabisaaaa. Hawa ni kiki tu.. maneno machafu wanayaona kila kukicha.. ma lezibi wale wawili na sheria ipo huko huko Mwanza kwa kideo kimeonekana wamewaachia huru.. kiki tu
Hivi kisandu ni Mwalimu wa somo gani?Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza limemkamata Deogratius Kisandu ambaye ni mwalimu wa Shule ya Sekondari Mkolani kwa makosa ya kutumia vibaya mitandao ya kijamii kwa kuandika matusi.
Mtuhumiwa huyo anadaiwa kutumia ukurasa wake wa Facebook kuandika matusi kwa takribani wiki nzima.
Hahaha mungu gani ajitetei mwenyewe paka mtetee niye huyo mungu fakeAcha kukurupuka wewe .
Huyo fb ametutukana sana waislamu na mtume wetu.
Yaani sisi waislamu tuchezee kwenye kila kitu ila usiichafue kabisa dini yetu na Mungu wetu pamoja na mtume Muhammad hapo lazima tukuwashie moto.