Mwanza: Deogratius Kisandu akamatwa na Polisi kwa kosa la kuandika matusi mitandaoni

Mwanza: Deogratius Kisandu akamatwa na Polisi kwa kosa la kuandika matusi mitandaoni

Yeye ndie awape madaktari hizo ripoti za wehu wake kuthibitisha yeye mwehu so far polisi wamchukulie ni mzima hadi yeye athibitishe
Naamini wakili wake atapeleka thread zake za humu JF kama utetezi wake mahakamani nadhani hakimu akizisoma atatoa amri apelekwe milembe mara moja akapatiwe matibabu kwa hiyo hakuna haja ya kupoteza resources na muda kwa huyu jamaa!
 
Kisandu ni kama amechanganyikiwa. Huku JF tunalindwa na sheria ndo maana tunajimwaga! Kule Facebook kwa huu udikteta tunavuta break kwanza!

Ila hatuandiki uhuni kama wa Kisandu. Kusema uliingiliwa kinyume na maumbile ila jamaa hakumaliza na eti ukaendelea kulala naye kitanda kimoja ni uchizi wa aina yake!
 
Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza limemkamata Deogratius Kisandu ambaye ni mwalimu wa Shule ya Sekondari Mkolani kwa makosa ya kutumia vibaya mitandao ya kijamii kwa kuandika matusi.

Mtuhumiwa huyo anadaiwa kutumia ukurasa wake wa Facebook kuandika matusi kwa takribani wiki nzima.

Sawa kabisa,, kwanza apelekwe milembe na report yake iwekwe adharani,,,ameandika matusi mazito sana, nashauri afungwe kwa usalama wake,, huku nje tumepata fununu kuna watu wanamvizia akiachiwa wamnyonye mate
 
[HASHTAG]#JusticeForKisandu[/HASHTAG]
93bde87e386320dc6b4e4752d55d0fbd.jpg
Tangu atangaze kugombea urais 2020 wanamsakama sana .
 
Back
Top Bottom