myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
anaweza kuwa na sura mbili, ya mtandaoni na ya kazini ambazo hazifananiSifikiri kama ualimu unamfaa ni basi tu.. Bora hata Polepole angemuwahi yeye kuitangaza sisiemu eeeeh.. napenda ambavyo haingizi ya yeye na wanafunzi wake kwenye maandishi yake.. anaheshimu kazi yake sana.. na anajua mipaka.