Mwanza: Deogratius Kisandu akamatwa na Polisi kwa kosa la kuandika matusi mitandaoni

Mwanza: Deogratius Kisandu akamatwa na Polisi kwa kosa la kuandika matusi mitandaoni

Deo kisandu ..anabid apimwe akili alafu apatiwe tiba yakisaikolojia/...LA sivyo atahenda kuwa chakura cha nyampara...hivi....ambao mko mwanza kamwekeeni dhamana deo .
 
sini Jana tu nilikuta watu wanasema akamatwe kumbe imetendewa haki,

Jana nilisema huyu jamaa hana uwezo wa kufikiri vizuri...
 
MTEMI DEO KISANDU,

Ngosha

huenda kuna kitu unavutaga mkuu, ila sijui kitu gani
 
Kabla ya kumfungulia mashtaka wampeleke kwanza milembe wakampime akili, anaweza kuwa na tatizo kama la nabii Tito
Yeye mwenyewe ndie athibitishie polisi Kama ni chizi au LA polisi wanedelee na kumfungulia kesi.Asigharimu serikali.Hata nabii Tito polisi walitakiwa waendelee tu na kesi Yeye nabii Tito ndie athibishe kama ni mwehu au ana akili timamu
 
Tunaomba uchunguzi wa ki medical zaidi ufanyike ili kubaini uhalali wa uchizi wake,
 
Naona aliomba TCR wasimzui kwenye bandiko lake la genye
 
Ni kweli lkn me nimefanya hv kuwaonyesha watu wa jamii forums ambao hawajakiona alichifanya kisandu,mana wengine wangeanza kumtetea
Mi mwenyewe ndo nimeona kilichomtia nguvuni asee nilikua sijaona hiyo post yake!Lakini usije kushangaa uko mbele ya kamera na kamishna wa polisi unauzishwa sura!
 
Back
Top Bottom