Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Haki ya faragha including kupata unyumba"Anakwambia Kutomb.a ni haki yake in accordance with Article 16 ya katiba. Em wanasheria waje wafafanue hili.
Si unaona hlf wanaweza kutokea watu na kuanza kumtetea kwamba ameonewaMi mwenyewe ndo nimeona kilichomtia nguvuni asee nilikua sijaona hiyo post yake!Lakini usije kushangaa uko mbele ya kamera na kamishna wa polisi unauzishwa sura!
Ila sasa ni kwa wanandoaAnakwambia Kutomb.a ni haki yake in accordance with Article 16 ya katiba. Em wanasheria waje wafafanue hili.
hamna..Kumbe ni mwalimu wa sekondari aisee hivi huwa anafundisha kitu gani au yuko ofisini tu.
Kwa kazi za umma lama mwalimu ...ualimu sio pale darasani tuu. Hata ktk jamii unayoishi ni lazma ubehave.Sifikiri kama ualimu unamfaa ni basi tu.. Bora hata Polepole angemuwahi yeye kuitangaza sisiemu eeeeh.. napenda ambavyo haingizi ya yeye na wanafunzi wake kwenye maandishi yake.. anaheshimu kazi yake sana.. na anajua mipaka.
Kwa kazi za umma lama mwalimu ...ualimu sio pale darasani tuu. Hata ktk jamii unayoishi ni lazma ubehave.Sifikiri kama ualimu unamfaa ni basi tu.. Bora hata Polepole angemuwahi yeye kuitangaza sisiemu eeeeh.. napenda ambavyo haingizi ya yeye na wanafunzi wake kwenye maandishi yake.. anaheshimu kazi yake sana.. na anajua mipaka.
MTEMI DEO KISANDU,
Ngosha
huenda kuna kitu unavutaga mkuu, ila sijui kitu gani
Hawajui tu fans wake tupo tunasubiria.. eeeh
Polisi wamburuze tu mahakamani wasijisumbue kumpeleka kumpima yeye ndiye akaseme mahakamani na kutoa ushahidi na yule Nabii Tito wamfanyie hivyo hivyo wamburuze mahakamani yeye ndie akathibitishie mahakama Kama ni mwehu au la.Kesi za watu wa aina hii polisi wasijipe preshaJamaa yuko location anaandaa single yake
Kwa kazi za umma lama mwalimu ...ualimu sio pale darasani tuu. Hata ktk jamii unayoishi ni lazma ubehave.
Wanf wake wanamchukuliaje?
Ww ni staff mwenzake au ni mwanafunzi wake utupe uhalisia akiwa kazini?
Hahahahahaha....huo mshtuko noma......Duh mimi nani!!!
Eeeeeeh nenda shuleni kwake ukamuulizie.
Huyu katutukana sana waislamu na kipenzi chetu mtume Muhammad SAW@Hance Mtanashati