Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
[HASHTAG]#JusticeForKisandu[/HASHTAG]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mtemiHuyu Deo anajadiliwa humu mwara kwa Mara, who is he ?
Pengine hakuingia mtandaoni hivyo alochelewa kugundua kwamba amekuwa hacked..Si anaweza kujitetea kirahis tu accnt yake imekua hacked....kosa lake labda awe hakutoa taarifa kituon
Yeye ndie awape madaktari hizo ripoti za wehu wake kuthibitisha yeye mwehu so far polisi wamchukulie ni mzima hadi yeye athibitisheHuyu jamaa utimamu wake ni wa utata fuatilia thread zake humu!Tusubiri ripoti za madaktari!
Anaweza kuwa mzima anayejifanya mwehu dawa yake kesi ziendelee kama ni mwehu atatoa vielelezo vyake kortini kujichomoaKuna utumbo mwingine kaujaza youtube jamaa haeleweki kabisa
Umesoma vyote au umeona hiyo tu? Tangu Januari ianze kumekuwa na series ya matusi mazito kwenyw page yake, MAZITO hasa. Mengine kwa viongozi na taasisi za serikali.Mtu kuandika hamu ya mwili wake nayo ni maneno machafu.. eeeeh au kuna mengine hamkutuhabarisha humu!!
Deo tunasubiri utoke uje utupe habari za huko wanapokupitisha.
May b gundi na gozo mkuuMTEMI DEO KISANDU,
Ngosha
huenda kuna kitu unavutaga mkuu, ila sijui kitu gani
kashatoka kwa dhamana mkuu bado anayaporomosha huko ni balaaTutamis sana nyuzi zinazoanza na "Mimi Deo Kisandu...."
Fb au jf?kashatoka kwa dhamana mkuu bado anayaporomosha huko ni balaa