Mwanza: Deogratius Kisandu akamatwa na Polisi kwa kosa la kuandika matusi mitandaoni

Mwanza: Deogratius Kisandu akamatwa na Polisi kwa kosa la kuandika matusi mitandaoni

Chonde chonde Masqo huko sero usilete huruma zako kama ulivyo mletea yule jamaa yako aliyetaka kukuingizia nyama ,huko watakutafuna
 
Ngoja Nichek Nyuzi zake zooote Leo, nipate kumuelewa Mwalimu Kisandu, pia tuangalie atakavyo escape Hii[emoji3],. THE ESCAPE OF KISANDU, Ndio jina la Muvi.
 
Dah nani tena anamtafuta mtu mzima mosqo,

Wasije wakawa wasanii wameona anataka kurudi rasmi kwenye game atachukua nafasi zao,

Wasije wakawa wale wasiomtakia mabaya yeye na mpenzi wake maria obama kwa sababu aliwahi kuja bongo wakamficha halafu wakampelekea Deo Nalimi Kisandu feki,

Au kagoma kuhamia CCM hawataki asajili kile chama chake cha siasa kitakachompa uraisi 2020

Anyway akirudi heading itakuwa Hivi

“MIMI DEO NALIMI KISANDU NILISINGIZIWA NATAKA KUPiNDUA NCHi”
 
Kwa hiyo hajaachiwa hata kwa dhamana kama sio huruma
 
Akaunti yake itakuwa imedukuliwa mkuu sio yeye mtu anayejierewa awezi kuongea ujinga kama ule
 
huko Facebook kuna wadada wanajiuza live,mbona hamuwakamati?labda mseme mmeanza fagia fagia huko facebook kwa wanaotukana,hivi ukimkuta ni kweli ana matatizo ya akili,utamfanya nini,si umepoteza muda wako ambao ungefanya mambo mengine?
Huyu ni mtumishi wa umma. Ni mwalimu huyu. We kama mzazi unaona ni sawa mwanao afundishwe na mwalimu wa hivi? Mambo mengine mbona ni common sense tu hata bila kuingiza uanaharakati na ushabiki uchwara?

Asimamishwe kufundisha mpaka pale tatizo lake litakapoeleweka. Na kama ni mgonjwa wa akili basi apatiwe msaada stahili na mwajiri wake. Ni hayo tu sis....
 
Acha kukurupuka wewe .

Huyo fb ametutukana sana waislamu na mtume wetu.

Yaani sisi waislamu tuchezee kwenye kila kitu ila usiichafue kabisa dini yetu na Mungu wetu pamoja na mtume Muhammad hapo lazima tukuwashie moto.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hiki ndo kilichobaki tu hapa tanzania wenzetu wao wapo level nyingine za kurusha satelite angani sisi tumekomaa na mitandao,Tanzania hapa tuna wanasayansi lakini sijawahi sikia walichokifanya cha maana Taifa likajivunia,ila "twente tu"in wasukumas voice naamini tutafika tu kwa upuuzi wetu huu
 
huko Facebook kuna wadada wanajiuza live,mbona hamuwakamati?labda mseme mmeanza fagia fagia huko facebook kwa wanaotukana,hivi ukimkuta ni kweli ana matatizo ya akili,utamfanya nini,si umepoteza muda wako ambao ungefanya mambo mengine?
Jesho la CCM siyo la kuamini hata kidogo.
 
Dah nani tena anamtafuta mtu mzima mosqo,

Wasije wakawa wasanii wameona anataka kurudi rasmi kwenye game atachukua nafasi zao,

Wasije wakawa wale wasiomtakia mabaya yeye na mpenzi wake maria obama kwa sababu aliwahi kuja bongo wakamficha halafu wakampelekea Deo Nalimi Kisandu feki,

Au kagoma kuhamia CCM hawataki asajili kile chama chake cha siasa kitakachompa uraisi 2020

Anyway akirudi heading itakuwa Hivi

“MIMI DEO NALIMI KISANDU NILISINGIZIWA NATAKA KUPiNDUA NCHi”
Umetisha sana
 
Hiki ndo kilichobaki tu hapa tanzania wenzetu wao wapo level nyingine za kurusha satelite angani sisi tumekomaa na mitandao,Tanzania hapa tuna wanasayansi lakini sijawahi sikia walichokifanya cha maana Taifa likajivunia,ila "twente tu"in wasukumas voice naamini tutafika tu kwa upuuzi wetu huu
Kula like mkuu za kutosha, point tupu mkuu.
 
Back
Top Bottom