Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,614
- 17,626
Chonde chonde Masqo huko sero usilete huruma zako kama ulivyo mletea yule jamaa yako aliyetaka kukuingizia nyama ,huko watakutafuna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni mtumishi wa umma. Ni mwalimu huyu. We kama mzazi unaona ni sawa mwanao afundishwe na mwalimu wa hivi? Mambo mengine mbona ni common sense tu hata bila kuingiza uanaharakati na ushabiki uchwara?huko Facebook kuna wadada wanajiuza live,mbona hamuwakamati?labda mseme mmeanza fagia fagia huko facebook kwa wanaotukana,hivi ukimkuta ni kweli ana matatizo ya akili,utamfanya nini,si umepoteza muda wako ambao ungefanya mambo mengine?
Siku hizi umeanza kujielewa kidogo safi sana utakuwa mdada mzuri
Endelea hivyo hivyo utakuwa binti mzuri mwenye kujitambuaEti kujielewa.. eeeeh umekosa lakuandika shaaaa
Kimeshawekwa mkuu, rudi comments za Nyuma kidogo.Mtuwekee alichoandika.
No ngapi mkuuKimeshawekwa mkuu, rudi comments za Nyuma kidogo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha kukurupuka wewe .
Huyo fb ametutukana sana waislamu na mtume wetu.
Yaani sisi waislamu tuchezee kwenye kila kitu ila usiichafue kabisa dini yetu na Mungu wetu pamoja na mtume Muhammad hapo lazima tukuwashie moto.
Jesho la CCM siyo la kuamini hata kidogo.huko Facebook kuna wadada wanajiuza live,mbona hamuwakamati?labda mseme mmeanza fagia fagia huko facebook kwa wanaotukana,hivi ukimkuta ni kweli ana matatizo ya akili,utamfanya nini,si umepoteza muda wako ambao ungefanya mambo mengine?
Umetisha sanaDah nani tena anamtafuta mtu mzima mosqo,
Wasije wakawa wasanii wameona anataka kurudi rasmi kwenye game atachukua nafasi zao,
Wasije wakawa wale wasiomtakia mabaya yeye na mpenzi wake maria obama kwa sababu aliwahi kuja bongo wakamficha halafu wakampelekea Deo Nalimi Kisandu feki,
Au kagoma kuhamia CCM hawataki asajili kile chama chake cha siasa kitakachompa uraisi 2020
Anyway akirudi heading itakuwa Hivi
“MIMI DEO NALIMI KISANDU NILISINGIZIWA NATAKA KUPiNDUA NCHi”
Kula like mkuu za kutosha, point tupu mkuu.Hiki ndo kilichobaki tu hapa tanzania wenzetu wao wapo level nyingine za kurusha satelite angani sisi tumekomaa na mitandao,Tanzania hapa tuna wanasayansi lakini sijawahi sikia walichokifanya cha maana Taifa likajivunia,ila "twente tu"in wasukumas voice naamini tutafika tu kwa upuuzi wetu huu