Mama_Aheshimiwe
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 2,746
- 4,165
Maskini...!!!
Hawajui alikua anaumwa ugonjwa wake???
Hawajui alikua anaumwa ugonjwa wake???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ms mol you looked gorgeous in your little dress today !!.Hayaaa!!
Jesus Christ save me.Ms mol you looked gorgeous in your little dress today !!.
[emoji3]
Hahahahahah ugonjwa wa kusaka kikiMaskini...!!!
Hawajui alikua anaumwa ugonjwa wake???
Tatizo huwa anapekenyua sana.hii serikali kwann wanahangaika na vitu vidogo ,huyu kisandu hapa jf tunampuuziaga tu nyuzi zake tunazisoma just for funny ,wao kwann wanashindwa kumpuuza tu
Even John 13:35 says " By this everyone will know that you are my disciples ,if you have love for one another".Jesus Christ save me.
Amen, usiku mwema, kwa huruma ya Mungu tuyaone mapambazuko.Even John 13:35 says " By this everyone will know that you are my disciples ,if you have love for one another".
Amen , ukapate kua na usiku mzuri wenye Aman.Amen, usiku mwema, kwa huruma ya Mungu tuyaone mapambazuko.
point and fact as wellEti anawafundisha nini wanafunzi wake, kama ni mwalimu wa BIOLOGY
aachiwe haraka sana.
Hata hivyo mtu akikuangukia miguuni si vema kumpiga kwanza muinue
halafu umsaidie kumpeleka HOSPITALI, Kwa tabia zilizooneshwa hivi karibuni
na Kisandu katika hali ya kawaida alitakiwa kusaidiwa na idara inayomsimamia
kumpeleka Hospitali na si POLISI.
Utakuwa mwalimu wa somo la historia make nikiwa najibu kila point nilikuwa naipa mfano.. kumbe matusi nayo yanahitaji mifano!!????Matusi gani kaandika ,toa mfano
Kinjekitile Ngwale, Nyungu ya maweMatusi gani kaandika ,toa mfano
Duh! Hatari sana.![]()
Huu ujingaa ndo umempelekaa ndo akadakwa na vijana wa siro..