gnassingbe
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 4,826
- 3,577
Ya nguoni!Matuc tena ya nn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya nguoni!Matuc tena ya nn
Kamtukana naniYa nguoni!
Aliandika kuwa shida yake ni moja tu nayo ni K, kwanini wasimsaidie kutongoza huyu mwamba
Yes , you raise a reasonable doubt and leave the prosecution to give evidence to contradict that. The burden never shifts mind you!Unafikiri mambo ni mepesi hivyo....
mie mwenyewe nimemshangaa, ila hata hivyo anaonekana anajiamini sana,Huyu jamaa alizidisha sana kujiachia humu alafu kumbe ni mtumishi wa uma!?
omg
Kwa hiyo aachwe tu aandike matusi na kutukana watu hovyo? Tena mwalimu kabisa? Nenda huko fb ukaone uchafu wake. Wampeleke akapimwe na madaktari wa akili pengine ana matatizo kichwanimmnh hivi kuna anayemchukulia Deo serious???inaonyesha hao watendaji wa serikali walivyokosa kazi smh
Kuna watu wanatukanana daily huko IG mbona hawakamatwi, labda wame mkamata Kwa kigezo cha kuwa mwalimu, wameona italeta shida Kwa wanafunzi wake kimaadiliHao mapolisi wanatafuta kiki kupitia Deo.. hakuna lolote baya aliloandika.. zaidi ya hamu ya mwili wake kutenda yajulikanayo.
Haya wanaanza kushindana nani anajua kukamata watumia mitandao.
Katutukana waislamu na mtume wetuKumbe ukisema una nyege kosa?
No. Hata polisi wakimwachia... Haitakiwi tume ya maadili imwachie huyo.Hao mapolisi wanatafuta kiki kupitia Deo.. hakuna lolote baya aliloandika.. zaidi ya hamu ya mwili wake kutenda yajulikanayo.
Haya wanaanza kushindana nani anajua kukamata watumia mitandao.
Kwa hiyo aachwe tu aandike matusi na kutukana watu hovyo? Tena mwalimu kabisa? Nenda huko fb ukaone uchafu wake. Wampeleke akapimwe na madaktari wa akili pengine ana matatizo kichwani