Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yeahhh hapo Nazi ndio basi tena labda ifahamike tu kuwa Jamaa kaweuka..ikitokea akapatiwa matibabu nakupona huwenda atarejeshwa kazini..kwa sbabu hzikuwa akili zake timamuDeo Kisandu hata kama atakuwa huru kwa defence ya Insanity lakini kazi ya ualimu ndiyo bqsi tena kibarua kimeota nyasi
![]()
![]()
![]()
Video wapi
Mkuu tumegee kidogoMtu kuandika hamu ya mwili wake nayo ni maneno machafu..
Hahahahahaha yan wew[emoji23][emoji23][emoji23]watatung'ata kwa kweliaiseeee mods muwe muwe mnaweka hata sehemu ya interview kwa mtu anayetka kujiunga na hii forum yenu ..maana kuna member wengine kama huyu nimachizi kabisaaa ..sasa mnapowapa nafasi yakujiunga ktk hii forum tukufu nchini mnatufnya tuwe tumechanganyika na machizi sehemu moja ..mwisho wasiku kichaa kikiwapnda watakuja watu ng'ate bure kama sio kutupiga na mawe...
nilikuwa .nahakikisha mkuu siyo unatoa maneno ovyo tu...Ww ndio unajua saizi?
aisee tutamisi shujaa wetu mzee wa dishiDeo kapelekwa "the big brothers' house"!
ni muda wa kusema buriani...free deo.
free sugu