Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani na wewe ukitulia bila kutoa maoni utapungukiwa nini!??siwezi kumpangia mie nimetoa maoni yangu
Amekuwa anaandika mengi kwa muda mrefu.. ila wanafunzi hao wanasoma mangapi ya wengine.. kama wanaweza ingia mitandaoni..
Yeye kusema hamu ya mwili sio tusi kabisaaaa. Hawa ni kiki tu.. maneno machafu wanayaona kila kukicha.. ma lezibi wale wawili na sheria ipo huko huko Mwanza kwa kideo kimeonekana wamewaachia huru.. kiki tu
hahaha nilijua mwisho wako utakuwa huu kisandu hivi wanafunzi wako huwa wanaelewa unalowafundisha heheheJeshi la Polisi Mkoani Mwanza limemkamata Deogratius Kisandu ambaye ni mwalimu wa Shule ya Sekondari Mkolani kwa makosa ya kutumia vibaya mitandao ya kijamii kwa kuandika matusi.
Mtuhumiwa huyo anadaiwa kutumia ukurasa wake wa Facebook kuandika matusi kwa takribani wiki nzima.
Siku hizi umebadilisha muelekeo au....!???
Labda hayo matusi atumie computer ya internet cafe vinginevyo haya mambo ya IP address ya computer yako hasa kama ni ya ofisi nadhani watafuatilia (mie sio mtaalamu wa komptuta nimejiandikia)Si anaweza kujitetea kirahis tu accnt yake imekua hacked....kosa lake labda awe hakutoa taarifa kituon
Kifurushi kimeishaLakini mbona kama nakumbuka huyu jamaa miaka ya nyuma alikuwa anaandika vitu sensible,ghafla hivi karibuni akaanza kutuma post za ajabu ajabu,nini kimemkuta?
Sijakuelewa kama hujanielewaSijakuelewa.
Alivumiliwa lkn bado akaendekezaHahahaha...eti ameandika Matusi kwa wiki nzima, as if kuandika kwa wiki nzima mfululizo kunaongeza uzito wa kesi kama vile kumbaka mtoto wa wiki nzima mfululizo.
Viwanda.
Kaandika mambo gani? au ukiyarudia nawe unawekwa mikononi mwa polisi.Alivumiliwa lkn bado akaendekeza
Jamaa post kama 10 hivi utumbo tu kaandika