Bigbootylover
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 2,847
- 1,828
Huyu jamaa bwana, hivi hakuwahi kuwa mtangazaji RFA?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀 kumbe unazipata swaga zake!!ngoja atoke tufurahi humu.Utasikia "mimi Deo Kisandu nikiwa selo askari mmoja wa kike alinizimikia,nikamwambia Malia Obama kamuwahi"😀😀😀Mimi deo kisandu nilikamatwa kwasababu ya kukataa uwaziri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yani jamaa si wamuachie😀😀 kumbe unazipata swaga zake!!ngoja atoke tufurahi humu.Utasikia "mimi Deo Kisandu nikiwa selo askari mmoja wa kike alinizimikia,nikamwambia Malia Obama kamuwahi"😀😀😀
nyie ndo mnasababisha umaskin wa nchi kwa kuongeza idadi ya wajinga wasaka tonge badala ya maendeleo, mpo wengi sana na mnarudisha nyuma maendelea ya nchiHa ha haaaaa
Hizo hasira zako unanitolea mie ka vile nimefanya maisha yako yawe yalivyo.. oyooooo huoni aibu eeeeh
Jipige vibao vya usoni ulie kabisa.. kula na mawe plus mchanga kabisa...
m maisha yangu yako vizuri alhamdulilah, ninachokisema hapa ni kuwa umaskin wa nchi hii unasababishwa na wajinga wasaka tonge kama wew, mpo wengi sana na mnarudisha maendelea ya nchi kwa ujumla
HahahaNajua wataishia kumpeleka Mirembe tu huyo. Na akitoka hana kesi kama nabii Tito.
Mwaka huu wakina dokta Shika ni wengi mno. Sijui inatokana na vyuma kuzidi kukaza.
Hahaha uwiiiEeeeeh eti tumbo!!!
Wewe unashibisha nini kwa kuandika humu?
Hahaha uwiii
Umenichekesha sana walahi
[emoji23][emoji23][emoji23] hiyo thread yake ya kwanza akirudiMimi deo kisandu nilikamatwa kwasababu ya kukataa uwaziri
Deogratias Nalimi KisanduHuyo jamaa hata uku Jf ni member sema jina lake limenitoka
Anaye juwa jina la huyo deo atusaidie maana kuna siku alishatuma video ya utumbo
Yaani we acha tuEeeeh yaani
Ni hao wakiamua kumshushia mtu mistresi yao
UwiiiDeogratias Nalimi Kisandu
Huyu huwa ni kichaa
Kutoka mkiani lakiniShule Yake imekuwa kwenye top ten kitaifa.