Mwanza: Diana Bundala maarufu 'Mfalme Zumaridi' ahukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela, kutumikia mwezi mmoja tu

Mwanza: Diana Bundala maarufu 'Mfalme Zumaridi' ahukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela, kutumikia mwezi mmoja tu

Kenya hiyo
IMG-20230125-WA0000.jpg
 
Rais Hustler Bottom Amewakazia Sana, Ikija Bongo Hii

Baadhi Watoa Huduma Za Maji, Mafuta, Mbegu, Vitambaa Watafunga Biashara
Maana Watabaki Wakongwe Tu Ambao Ni Hawa Kwa Uchache:-
RC, KKKT,ANGLICAN, SDA,ORTHODOX ,MORAVIAN
Na Mengine Yasiyotumia Hayo
 
Akianzisha tena ile huduma yake ya misukule ntamtembelea nikajifunze kitu uwenda nikang'amua fursa flani flani."mfalme Zumaridi mungu chini ya jua"
 
Asante Mwenye Enzi Mungu kwa ajili ya huyu mama jamani uwiii!
 
Wamemwonea tuu hakuna kosa lolote alilofanya, wamemtengenezea makosa tuu ili wasitoke bila bila, kwa nchi zinazojitambua hata mahakamani asingepelekwa, serikali haina dini uhuru wa kuabudu uheshimiwe
 
Sio mbaya mwezi wa3 tupo kanisani kwake tumemisi sana mfalme zumaridi,tunakuombea utoke salama
 
Hapo Makerubi Wanamngoja Mfalme Ama Ndiyo Kama Bible Inavyosema "Nitampiga Mchunga Kondoo Na Kondoo Watatawanyika "
 
Huyu mungu dah yaani tubinadamu tumemuweka selo mungu.

Ashakum si matusi ila mungu zumaridi umeniangusha sana
 
Nimeshangaa Mahakama ya Mwanza kumhukumu Nabii Zumaridi kifungo cha mwaka mmoja, lakini eti atatumikia mwezi mmoja tu, wkavile amekaa mahabusu miezi 11. Hivi mbona kwa wengine sijasikia wakipunguziwa muda kwa kukaa mahabusu miezi hata miaka? Kisheria hii ikoje. Nomba kujuzwa kwa wajuao.
 
Back
Top Bottom