mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Kivipi...Acha anyooshwe kidogo
Ye si nabii Ana maajabu
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi...Acha anyooshwe kidogo
Nimeshangaa Mahakama ya Mwanza kumhukumu Nabii Zumaridi kifungo cha mwaka mmoja, lakini eti atatumikia mwezi mmoja tu, wkavile amekaa mahabusu miezi 11. Hivi mbona kwa wengine sijasikia wakipunguziwa muda kwa kukaa mahabusu miezi hata miaka? Kisheria hii ikoje. Nomba kujuzwa kwa wajuao.
kwa lipi?Kivipi...Acha anyooshwe kidogo
Ye si nabii Ana maajabu
Ova
kwa nini waingilie imani za watu nakuwabambikizia kesi!?Kaonewa wapi?
kwa nini waingilie imani za watu nakuwabambikizia kesi!?
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Nimeshangaa Mahakama ya Mwanza kumhukumu Nabii Zumaridi kifungo cha mwaka mmoja, lakini eti atatumikia mwezi mmoja tu, wkavile amekaa mahabusu miezi 11. Hivi mbona kwa wengine sijasikia wakipunguziwa muda kwa kukaa mahabusu miezi hata miaka? Kisheria hii ikoje. Nomba kujuzwa kwa wajuao.
Ameshajifunza
Inategemea na kosa. Kosa la zumaridi wala sio kubwa kihivyo.Angekuwa sheikh au Ustaadh angepigwa miaka 12 hapo mfumo ndio umemlinda.
Alishawageuza waumini wake kama mazombiekwa lipi?
Kumbuka sivema kuingilia imani za Watu waacheni waabudu wanacho kiamini imani silazima uabudu kama wanavyo abudu wengine waweza anza yako
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Kwani kosa la Zumaridi ni lipi!?Angekuwa sheikh au Ustaadh angepigwa miaka 12 hapo mfumo ndio umemlinda.
Inategemea na kosa. Kosa la zumaridi wala sio kubwa kihivyo.
Sasa hao masheikh unakuta wamekutwa na kosa la kukawiti au la ugaidi. Utategemea adhabu itakua mwaka mmoja jela?
Papa ndio promota wa ushoga usitukane masheikh bure.Inategemea na kosa. Kosa la zumaridi wala sio kubwa kihivyo.
Sasa hao masheikh unakuta wamekutwa na kosa la kukawiti au la ugaidi. Utategemea adhabu itakua mwaka mmoja jela?
Alishawageuza waumini wake kama mazombie
Ova
Aliloliona hakimu na kumtia hatiani.Kwani kosa la Zumaridi ni lipi!?